Makapuku Forum

Makapuku Forum

Makapuku, sijawahi kuwa na topiki hapa na najifunza. How did I do today (Stupid Criminals hapo juu)? Ni wazo zuri hili au niachane nalo? Ushauri wo wote utasaidia (format, presentation n.k). Bitoz, Obe, Lee...ushauri please.

Nina mawazo mengi hata nafikiria kuanzisha darasa la Falsafa hapa. Kila siku tujadili wazo moja tata la kifalsafa (mf. Wewe ni nani? Tuna haja ya kukiogopa kifo?..). Lengo ni kuipa Makapuku sura mbalimbali. Pamoja sana!
Nimependa mawazo yako,naamini yatatujenga ..naamini yatapokelewa na kufanyiwa kazi ,karibu
 
(2) Dad, pass the salad PLEEEEESE !!!
a308fc307dc4e7e7e5ee57a1ed98c4b1.jpg
I see uchoyo ni roho kamili yaani Salad?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom