denoo49
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 6,113
- 6,953
Mpelekee salamu mwambie habari ya VUMBI LA CONGO na supu za pweza, kwa sasa si dhani kama lina nafasi kwa malkia mtulivu kama mama Mchungaji. Nimejizatiti kwa Mbegu za maboga, mdalasini wa India, Asali ya nyuki wadogo na vitunguu swahumu vya bongo, sio vile vya south Africa.Mkuu sorry ..nimetumwaa
Eti etii lakin .mukongo aka baba mchungaji acha kumsumbua mama mchungaji