Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Hahaaa utaniweza mm kisha tujajengeMi sina gender nipo nipo tu
abeeeeCc demi
Mi simnyimagiiishunii
husna
shedede
shululu
lee
transcend
mkuje kujibu hapa
Leo umeamuaa
Nini sasa
Ahaaaaa nishaelewaaCc demi

Umeelewa nn hapoAhaaaaa nishaelewaa![]()
Mmmmmh nan ananyimwa saasaMi simnyimagiii
Akitaka nampa
😀 😀 😀 😀(1) Tumalizie na Dajuan Porter. Yeye "huiba" katika nyumba zinazokaliwa na wanaume tu...![]()
Wanaona humu ni mkusanyiko wa wanafunzi na maskini, kama kusoma hawajui na picha hawaoni?Km wanatuonea gere na wenye wajee
Hawajui kuchagua waleWanaona humu ni mkusanyiko wa wanafunzi na maskini, kama kusoma hawajui na picha hawaoni?
akijibu nijulisheUmeelewa nn hapo
Unawasaidiaje?Ndo maaana mm nawasaidia wengi humu
Bonge moja la pointMakapuku, sijawahi kuwa na topiki hapa na najifunza. How did I do today (Stupid Criminals hapo juu)? Ni wazo zuri hili au niachane nalo? Ushauri wo wote utasaidia (format, presentation n.k). Bitoz, Obe, Lee...ushauri please.
Nina mawazo mengi hata nafikiria kuanzisha darasa la Falsafa hapa. Kila siku tujadili wazo moja tata la kifalsafa (mf. Wewe ni nani? Tuna haja ya kukiogopa kifo?..). Lengo ni kuipa Makapuku sura mbalimbali. Pamoja sana!
Nimekupata kamanda. Usikose kutuletea vidokezo muhimu vya hiyo bajeti...Mkuu mida hii huwa ni mda wa "upuuzi wa lee" nimemanishaa hivo
tuanzie hapa unampaga nini??Mi simnyimagiii
Akitaka nampa