Makapuku Forum

Makapuku Forum

1970 - Abraham Maslow anafariki Dunia.

Ni mwanasaikolojia kutoka nchini Marekani.
5871e288fe05325e492d7ceb51ae0a3d.jpg
684f5e2ca00c7bc656e682620d690db4.jpg

Alikuwa na umri wa miaka 62
Alizaliwa 1908
......
 
1998 - Rais na Jenerali wa Nigeria Sani Abacha anafariki Dunia.

Alifariki akiwa anafanya mapenzi na machangudoa wawili wa Kiasia katika Ikulu ya Nigeria na alizikwa siku hiyo hiyo bila kufanyiwa uchunguzi. Inaaminika aliteheshewa sumu katika matiti.

Alikuwa ni dikteta wa Nigeria ambapo alitawala kwa mkono wa chuma.

Katika utawala wake, Mwanafasihi mashuhuri Wole Soyinka alikimbia Nchi kutokana na kutishiwa uhai wake.
0a3c4904b026bd28b4a3fa84ceafd004.jpg

Walimzika fasta wakisingizia kufuata tamaduni za dini ya Kiislamu ambayo inataka mtu akifa azikwe haraka
f8606f4c6b70ff57d11cb43fc5b67bfe.jpg
837a902ea6c1880ec318815ae4dd87ae.jpg

Soyinka ni bonge la mwandishi level za akina Ngugi wa Thiong'o siyo huko kwetu tuna maprofesa akina Lipumba
Nimesoma baadhi ya vitabu

Wakati wa kampuni za urais alisema Mbaguzi Donald Trump akishinda basi atasepa maana hawezi kuongozwa na huyo mpuuzi
Na kweli akasepa !!(au hakusepa?)
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom