Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Achana nae, ataanza kujichekesha muda si mrefuAnajifanya mbishii
Jifariji

Si huyu husna anasema hawaogopii nyie na kikundi chenu cha kunyongaa ...kaongea mengi uzur umekujaa

Leo Katika Historia:
1929 - Margaret Bondfield anachaguliwa kuwa Waziri wa Kazi na anakuwa mwanamke wa kwanza kuchaguliwa katika Baraza la Mawaziri huko Uingereza.
Umekuwa bubu
Kwani vipeee.....mbona husomeki?! Kuna ugomvi gn hapa?!Hamna sababu ya kushindana nae, mziki wangu anaujua... Acheze na wengine lakini sio double S...., you know what I mean.....
Wee naeeeHope ameonyeka

Unapoona kuna moderator around basi ujue safety imezingatiwa hapo.Umemishtua aisee nikasema leo hapatoshi humu ndani...
BTW karibu sana mkuu usisite kuja kututembelea.
Ramadhan kareem!!
1967 - Vita ya Siku Sita: Meli ya Kivita ya Marekani The USS Liberty yashambuliwa kwa bahati mbaya na Ndege za kivita za Israel na kuua watu 34 huku 171 wakijeruhiwa.
Habari za huko mwisho wa reli?Shwanga tu