Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Na ww ukiwemooWatamkomaaa
Na ww ukiwemooWatamkomaaa
Asante mkuuKatika dondoo za bbc ...
Waingereza leo wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.
Leo ni siku ya Bajeti kwa baadhi ya nchi za Afrika Mashariki.
Tume huru ya Uchaguzi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo tuhumani kwa kuendesha polepole zoezi la Usajili na vitendo vya rushwa.
Serikali ya Tanzania kwa mara ya kwanza yaanza matibabu ya upandikizaji wa vifaa vya kusikia kwa watu wanaozaliwa wakiwa viziwi.
Na takwimu zinaonesha kuwa Somalia inaongoza duniani kwa watu wenye magonjwa ya akili.
Wewe ndio umeyatafsri hivyoSasa mbona unaeka maneno ya kutega
Apoo vizurMzima wa afya. Nimeamka vizuri sana leo
Hachokwi MTU humuHahahahaaaa.. sasa msinichoke, nizoeeni tu. Ahsante kwa siti nzuri
Si upo upo weweAfu watu banaa!.
Mi nimesema tupo yaani wengi nikiwa na maana ya makapuku wote
Sasa nyieee cjui mmeelewajeess yaoneee kwanzaaa![]()
Humjuii sakayo wewe ndo maana unasema hivooMikwara mbuzi tu ilee mi nna "kitinku"bwanaaa haniwezi mtuu
Acha tuNaona moyo umeshabadili mapigo apo![]()
NyambuaaThen...?!
K hii k auBaba k
Weeee na mm tena ??Na ww ukiwemoo
Pande hizo vip

Nani huyooo analeta keleleHumjuii sakayo wewe ndo maana unasema hivoo
Pamojaa mkuuAsante mkuu
Nn ss?Mhhhhhhmhhhhh
JifarijiMikwara mbuzi tu ilee mi nna "kitinku"bwanaaa haniwezi mtuu
Asante MkuuView attachment 521106Kutoka magazetini sina la ziada tukutane tena kesho muda na wakati kama huu kwa udhamini mnono wa Lee empire
Nawatakieni wote siku njema
Si huyu husna anasema hawaogopii nyie na kikundi chenu cha kunyongaa ...kaongea mengi uzur umekujaaNani huyooo analeta kelele