Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
![]()
![]()
Walikuwa ni Laura Ling na Euna Lee
Wote walikuwa ni maripota wa TV ya huko California
Kila mmoja alihukumiwa miaka 12 jela ila nafikiri baadaye waliachiwa kidiplomasia
Wangekuwa waandishi wa kibongo Sizonje angewapotezea tu
Wenzetu wanawajali raia wao
.....
