Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nafikiri tutajuana siku mmoja akipita kwenye anga la mwingine, take care
Aisee.. Hiyo mikwara mi ndio siipendagi asee wote ni member Wa jf km we ni mnyongaji ni huko kwenu humu tunachati then kila mtu na life lake tangu niingie jf sijawahi kugombana na mtu afu hata ukinitusi sitaweza kukurudishia nakupotezea
Hakuna cha team b wa LA team o member wote ni sawa tu
 
1998 - Rais na Jenerali wa Nigeria Sani Abacha anafariki Dunia.

Alifariki akiwa anafanya mapenzi na machangudoa wawili wa Kiasia katika Ikulu ya Nigeria na alizikwa siku hiyo hiyo bila kufanyiwa uchunguzi. Inaaminika aliteheshewa sumu katika matiti.

Alikuwa ni dikteta wa Nigeria ambapo alitawala kwa mkono wa chuma.

Katika utawala wake, Mwanafasihi mashuhuri Wole Soyinka alikimbia Nchi kutokana na kutishiwa uhai wake.
 
2009 - Waandishi wawili wa Kimarekani wanakutwa na kosa la kuingia Korea Kaskazini kinyemela, hivyo wanahukumiwa kwenda jela miaka 12.
51a3a45de2f6f45cf050e4d3994a479a.jpg
3a1f6856e6a9b5ea5c2526c5a3d958cb.jpg

Walikuwa ni Laura Ling na Euna Lee
Wote walikuwa ni maripota wa TV ya huko California
Kila mmoja alihukumiwa miaka 12 jela ila nafikiri baadaye waliachiwa kidiplomasia
Wangekuwa waandishi wa kibongo Sizonje angewapotezea tu
Wenzetu wanawajali raia wao
.....
 
Aisee.. Hiyo mikwara mi ndio siipendagi asee wote ni member Wa jf km we ni mnyongaji ni huko kwenu humu tunachati then kila mtu na life lake tangu niingie jf sijawahi kugombana na mtu afu hata ukinitusi sitaweza kukurudishia nakupotezea
Hakuna cha team b wa LA team o member wote ni sawa tu
Hamna timu wala mkwara hapo, ni mawazo yako tu so take it easy
 
1998 - Rais na Jenerali wa Nigeria Sani Abacha anafariki Dunia.

Alifariki akiwa anafanya mapenzi na machangudoa wawili wa Kiasia katika Ikulu ya Nigeria na alizikwa siku hiyo hiyo bila kufanyiwa uchunguzi. Inaaminika aliteheshewa sumu katika matiti.

Alikuwa ni dikteta wa Nigeria ambapo alitawala kwa mkono wa chuma.

Katika utawala wake, Mwanafasihi mashuhuri Wole Soyinka alikimbia Nchi kutokana na kutishiwa uhai wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom