Makapuku Forum

Makapuku Forum

Umeona eee Husna Muba
56ad9b2a0bae9258b54f2d5aa538f66b.jpg
 
2009 - Omar Bongo anafariki Dunia.

Alikuwa ni Rais wa Gabon ambaye amekaa madarakani kwa miaka 25 mpaka kifo chake kinamkuta.

Kwasasa nchi inaongozwa na mwanae.
fcfd7ae6a5b4dcf5839057afd3926d1f.jpg
199fb42aaa56f6059e24815467aeda19.jpg

Si ndo aliyekuwa akijiita Rais wa maisha au ?
Nafikiri huyu jina lake ndo chimbuko la Dar/Tz Kuitwa Bongo[/b]
Maana alikuwa ni kiongozi tapelitapeli


......
 
0a3c4904b026bd28b4a3fa84ceafd004.jpg

Walimzika fasta wakisingizia kufuata tamaduni za dini ya Kiislamu ambayo inataka mtu akifa azikwe haraka
f8606f4c6b70ff57d11cb43fc5b67bfe.jpg
837a902ea6c1880ec318815ae4dd87ae.jpg

Soyinka ni bonge la mwandishi level za akina Ngugi wa Rhiong'o siyo huko kwetu tuna maprofesa akina Lipumba
Nimesoma baadhi ya vitabu

Wakati wa kampuni za urais alisema Mbaguzi Donald Trump akishinda basi atasepa maana hawezi kuongozwa na huyo mpuuzi
Na kweli akasepa !!(au hakusepa?)
.......
Alisepa matokeo yalipotoka Marekani mara
 
0a3c4904b026bd28b4a3fa84ceafd004.jpg

Walimzika fasta wakisingizia kufuata tamaduni za dini ya Kiislamu ambayo inataka mtu akifa azikwe haraka
f8606f4c6b70ff57d11cb43fc5b67bfe.jpg
837a902ea6c1880ec318815ae4dd87ae.jpg

Soyinka ni bonge la mwandishi level za akina Ngugi wa Rhiong'o siyo huko kwetu tuna maprofesa akina Lipumba
Nimesoma baadhi ya vitabu

Wakati wa kampuni za urais alisema Mbaguzi Donald Trump akishinda basi atasepa maana hawezi kuongozwa na huyo mpuuzi
Na kweli akasepa !!(au hakusepa?)
.......
unajua kila kitu mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom