Inasikitisha na hakika tutarajie chochote,tusije shangaaZamani nilikuwa nalaumu sana mfumo wa Wamarekani ambako kuteuliwa/kugombea nafasi ya uongozi wa aina yo yote ni lazima uwe na kazi inayoeleweka; na mara nyingi uwe na pesa zako mwenyewe za kutosha. Kumbe wako sahihi. Ndiyo maana wenzetu wale kakosa kadogo tu mtu ameshajiuzulu. Na kuteuliwa halafu wakakataa ni jambo la kawaida. Trump amehangaika kweli kumpata mtu wa kumteua kushika u director wa FBI. Kila anayemuomba jamaa wanakataa. Why? Kwa sababu tayari wana hela zao. Sasa hawa wanasiasa wetu hawa wachumia tumbo ni shida tupu yaani hata aibu hakuna.![]()

HahhahaaaNilifikiri Shedede wakati ule ulipomfuma akiwa mlinzi na emehamishia sime na marungu nyumba kuu...
Mimi namshukuru Mungu kaniamsha salama Lee,ubarikiweWakuu hope kumekucha salama saliminiii
Wale wapenzi wa nba najua tumeamka mapema kufatilia game 3 na mnajionea kinachoendelea...
Soon Uf

Asante mama mchungajiiMimi namshukuru Mungu kaniamsha salama Lee,ubarikiwe![]()
Morning Demi wa obeBasi unastahili pole.
.
.
Pole Obe wangu!
I see lazima si halali
Hongera Tanzania kwa upandikizaji vifaa vya usikivu,Mungu abariki kazi hii na kuwasaidia walengwaKatika dondoo za bbc ...
Waingereza leo wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.
Leo ni siku ya Bajeti kwa baadhi ya nchi za Afrika Mashariki.
Tume huru ya Uchaguzi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo tuhumani kwa kuendesha polepole zoezi la Usajili na vitendo vya rushwa.
Serikali ya Tanzania kwa mara ya kwanza yaanza matibabu ya upandikizaji wa vifaa vya kusikia kwa watu wanaozaliwa wakiwa viziwi.
Na takwimu zinaonesha kuwa Somalia inaongoza duniani kwa watu wenye magonjwa ya akili.

I see!Tafakar ya kirat![]()
Amen,Mungu awatangulie waislamu wote mnaoshiriki ibada hii muhimu,na awape sawasawa na mapenzi yake,na siku zinaenda Najua Mungu ana zidi kuwabariki tunawaombeaMfungo 13 leo, Ramadhan Kareem


Morning Demi wa obe
Tafakar ya kirat![]()
Huu ni utalii mbona wanalia sana wakipanda?UF...![]()