Makapuku Forum

9/"Hound Dog" Taylor
Jina lake kamili ni Theodore Taylor..alizaliwa akiwa na vidole 6 mkono wa kushoto
Ni mwanamuziki na mpiga gitaa wa Kimarekani aliyetamba na wimbo wa Natural Boogie
Kibao kingine ni House Rockers
.....
 
Huu ujumbe umenifanya nicheke kwa leo
Ni dongo tosha kwa hawa wahamasishaji wa utajiri waliojaa kila kona. Mtu anakufundisha kanuni tano zitakazokufanya utajirike wakati yeye mwenyewe ukimwangalia hoi balaa. Na Mara nyingi unakuta ni mambo tu common sense wakati tayari wameshakutwanga 30,000. Ni afadhali nisome mawazo ya Masiriwa (bilionea wa Zimbabwe) au ushauri wa Mkinga milionea Shedede kuliko wa hawa wasaka tonge wenzangu.
 
8/Gemna Arterton
Huyu ana vidole 6 mikono yake yote miwili
Ni mcheza filamu aliyeshiriki filamu kadhaa mfano filamu ya James Bond iitwayo Quantum of Solace
Zingine ni Clash Of The Titans,Prince of Persia,Tamara Drewe na The Sands Of Time
......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…