Hata Chuo kikuu chao cha Morogoro walipewa na Mseminari Benjamin Mkapa😂😂Wote elimu ya kanisa,hata hao watawala wao wa saudia wamesoma kwa wazungu
Ndo wakome kutumika na wanasiasa,Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?
Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa.....kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?
View attachment 2697730
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔Kuna wasomi wa MADRASA
wameuza Loliondo uarabuni
Wakauza gesi
Richmond
Bandari ndio wanamalizia
😂😂😂Anakula samaki nchanga huko Mtwara atajulia wapi haya? Angekuwa anakula nguruwe angekuwa na akili kama mwenzake Mruma😅😅
Jiwe alishajilalia zake kaburini hata hawazi hayaTatizo kubwa la nchi hii watu hawana Professional Intergrity.
Wasomi wengi wanaendeshwa na Wanasiasa.
Kwenye la kuvunja mikataba wa kulaumiwa anajulikana wala sio Prof. Mruma
😀😀 Karibu Kinondoni Muslim bwashee!Mkuu Yana ukweli haya!!?
AahaaaaaaForm 4 failure
Nitakuja bwashee aahaaaa😀😀 Karibu Kinondoni Muslim bwashee!
Unaona anavyofanyiwa bullying Sasa Ina maana gani?Kukosea na kutojua kitu ni vitu viwili tofauti, Mruma hajakosea bali hajui.
"Walipewa" MUM wakati ni chuo cha tanesco😅😅😅😅Hata Chuo kikuu chao cha Morogoro walipewa na Mseminari Benjamin Mkapa😂😂
Mwacheni mzee wa watu mkataba wake unaisha mwaka 2025😎😎Mwenye CV ya Professor Mruma tafadhali!!!
anafunzi wako wa UDSM
Aibu, wanapenda kujiita prof., Dr, nk huku vichwani weupe na ndio washauri wa rais. Majanga makubwaProfesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?
Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?
View attachment 2697730