Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?

Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa.....kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?
View attachment 2697730
Ndo wakome kutumika na wanasiasa,
 
Issue sio kwamba wanasheria hamnazo. Watu wanandaa na kusaini mikataba huku brifukesi zimeshatangulizwa chumbani kwenye vyumba vya hoteli walizofikia. Hapo hamna cha kutumia akili tena bali wanafurahia wakirudi bongo watakavyo poromosha maapatimenti na magorofa.
 
Hii nchi inefeli kwasababu watu wengi walioshika nyadhifa za juu akili zao ni kama hizi, CCM imejaa maboga matupu yasiyofaa kupeleka popote, mtu kama Professor Mkumbo utasema kuna akili mule?

Wale waliokua hawaoni tatizo la kuongozwa na mtu asiyekuwa na elimu "halisi" ya kutosha, nadhani watakuwa wamejifunza hapa. Kama huyu ndiye alieonekana kuwa mtaalamu mbele ya SHH na jopo lake, yeye SHH yupoje? Hako kalikompiga KO Prof Mruma ni chini ya miaka 30.

Magufuli aligundua kuwa CCM imejaa maboga yasiyoweza kumsaidia lolote ndiomaana alianza kuiba vijana wenye elimu nje ya CCM na kuwaingiza kwenye mfumo.

Nchi ya kipumbavu kabisa hii.
 
anafunzi wako wa UDSM

Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?

Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?

View attachment 2697730
Aibu, wanapenda kujiita prof., Dr, nk huku vichwani weupe na ndio washauri wa rais. Majanga makubwa
 
Back
Top Bottom