Mahakama Kuu yasitisha uchaguzi mkuu TFF, Wallace Karia aitwa Mahakamani

Michezo ni suala la Muungano?
Kwanini Zanzibar wana chama chao na ni wanachama wa CAF?
Kuna mtu wa bara anaweza kwenda kugombea ZFA?
Kwanini wasipiganie kupata uanachama wa FIFA?
Sasa mkuu mbona unakuwa kama huelewi hata unachokitetea?!!
Zbr ina timu ambayo inashiriki kombe la mataifa ya Afrika?, je ina timu ambayo inashiriki michezo ya kombe la dunia?kwanini inapofikia hapo huwa ni timu ya Tz, ndio inawajumuisha wao?kwanini pesa zinazotoka CAF/FIFA, zbr wana mgao wao kutoka TFF?

Ina maana hadi hapo hujaona kuwa mzanzibar ana haki ya kulalamika juu ya TFF, lakini Mtanganyika hana haki juu ya ZFA?!!sasa watapigania vipi kupata uanachama wa FIFA, wakati sifa hiyo hawana kutokana na muundo wa muungano huu, wa kuwa zbr sio nchi?!!
 
Mpira upi unaendeshwa kihuni?
Ntajie kasoro za uongozi uliopita kabla ya huu mchakato wa uchaguzi?
Na hizo kanuni na taratibu zimetungwa juzi au mda mrefu?
Muda mrefu upi? Uchaguzi uliopita ulikuwa na kanuni hizo?kumbuka uchaguzi ulikuwa moto sana, kina wambura, kanuni zilikuwa nzuri kiasi, unajua wapiga kura wamepunguzwa toka zaida ya 300 hadi sasa kufikia 80?

Ktk uongozi wa karia ndio wakaweka kanuni hizo za kihuni?mfano jumla ya endorsement ni 49, na kila mgombea nafasi ya urais lazima apate wadhamini si chini ya 5, na hairuhusiwi kudhamini mgombea zaidi ya mmoja.

Karia amepata wadhamini 18, hivyo wamebakia 31 , haya kama kuna wagombea 8, hao wadhamini watawatoa wapi?na unamfuata mdhamini anakwambia ctaki tu kukudhamini, na kanuni haimlazimishi.
 
Ali Salehe alitakiwa kwenda CAS ,ni ujinga ujinga Tu ,huyu ndio kina ZITO Walikua wanamuunga mkono kisa ACT mwenzao
 
Yaani wewe mzanzibari uje huku Bara unataka Uenyekiti TFF?. Mbona usiende kugombea huko ZFA, nyie wa Zanzibar mnaweza kuruhusu mbara agombee kwenu?.Ikitokea Fifa wamatufungia kwa mgogoro huu uliouanzisha, jua patachimbika.
 
Sasa mkuu mbona unakuwa kama huelewi hata unachokitetea?!!
Zbr ina timu ambayo inashiriki kombe la mataifa ya Afrika?, je ina timu ambayo inashiriki michezo ya kombe la dunia?kwanini inapofikia hapo huwa ni timu ya Tz, ndio inawajumuisha wao?...
Uk vipi muungano wao sio kama wetu?

Mbona scotland na wales ni wanachama wa FIFA?

Zanzibar nachojua ni mwanachama wa CAF ndio maana vilabu vyake hushiriki CAF na shirikisho.
 
Yaani wewe mzanzibari uje huku Bara unataka Uenyekiti TFF?. Mbona usiende kugombea huko ZFA, nyie wa Zanzibar mnaweza kuruhusu mbara agombee kwenu?.Ikitokea Fifa wamatufungia kwa mgogoro huu uliouanzisha, jua patachimbika.

Mbona Mama ni Mzanzibar anatawala huku Tanganyika hakuna kelele.Wacha watutawale kwakuwa huku bado tumelala usingizi wa pono.

Tanganyika ni sawa na shamba la Bibi.
 
Hawa wazanzibar sio watu wazuri hata. Ila na sie wabara tujifunze kuacha kushobokea hawa wakojani kila siku wanatukashifu, ndo maana Soka lao kila siku migogoro sasa washaona magogoni wako wao wanataka tukose wote.
 
TFF akili zao wanazijua wenyewe wacha tu tufungiwe kuliko kuendelea na majizi kubuhu... kina rage na Ndoranga nao walikuwa hivyo hivyo hadi akili zikawakaa kichwani
 
Mbona Mama ni Mzanzibar anatawala huku Tanganyika hakuna kelele.Wacha watutawale kwakuwa huku bado tumelala usingizi wa pono.

Tanganyika ni sawa na shamba la Bibi.
Yaani ni watu wasioridhika ukiwapa hiki wanataka kile ukiwapa hiko watataka kingine!! Hawatuachi tupumue yaani.
 
Mbona huyo Wallace Karia mliyempitisha bila kupingwa na kwa zengwe, ni Msomali lakini tumenyamza tu kimya! Si na yeye angeenda kugombea huko kwao Somalia?

Tanzania ni shamba la bibi! Acha watu wale wewe.
Acha upuuzi wewe. Usilete utoto kwenye jambo la akili. Kama hujui mambo ya mpira kaa kimya
 
Muda mrefu upi? Uchaguzi uliopita ulikuwa na kanuni hizo?kumbuka uchaguzi ulikuwa moto sana, kina wambura, kanuni zilikuwa nzuri kiasi, unajua wapiga kura wamepunguzwa toka zaida ya 300 hadi sasa kufikia 80? Ktk uongozi wa karia ndio wakaweka kanuni hizo za kihuni?mfano jumla ya endorsement ni 49, na kila mgombea nafasi ya urais lazima apate wadhamini si chini ya 5, na hairuhusiwi kudhamini mgombea zaidi ya mmoja, Karia amepata wadhamini 18, hivyo wamebakia 31 , haya kama kuna wagombea 8, hao wadhamini watawatoa wapi?na unamfuata mdhamini anakwambia ctaki tu kukudhamini, na kanuni haimlazimishi.
Hilo swali nimekuuliza wewe kama hizo kanuni ni za leo au mda mrefu?
Hilo suala la degree limewekwa lini?
Je ni kanuni mbaya? ( kuhitaji degree kwa rais)
Na kwanini tunalazimisha watu wasio wasomi kuongoza shirikisho letu?
 
Yaani wewe mzanzibari uje huku Bara unataka Uenyekiti TFF?. Mbona usiende kugombea huko ZFA, nyie wa Zanzibar mnaweza kuruhusu mbara agombee kwenu?.Ikitokea Fifa wamatufungia kwa mgogoro huu uliouanzisha, jua patachimbika.

Kwa mujibu wa blog ya Issa Michuzi, hapa chini ni sifa za mtu anazotakiwa kugombea Urais wa TFF...

1. Awe raia wa Tanzania.
2. Awe na kiwango cha elimu kisichopungua kidato cha nne (Cheti cha Elimu ya Sekondari).

3. Awe na uzoefu wa uendeshaji Mpira wa Miguu uliothibitishwa wa angalau miaka mitano.

4. Asiwe na hatia yoyote ya kosa la jinai na asiwe amewahi kuhukumiwa kifungo kisicho na mbadala wa faini.

5. Awe na umri angalau miaka 25.

6. Awe amewahi kuwa ama Mchezaji Mpira wa Miguu, Kocha, Mwamuzi. Au kushiriki katika uendeshaji wa Mpira wa Miguu angalau katika ngazi ya Mkoa au ngazi ya daraja la kwanza.

7. Awe muadilifu na muaminifu mwenye uwezo wa utendaji katika utekelezaji na utimizaji wa majukumu na malengo ya TFF.

8. anayegombea nafasi ya Rais au makamu wa Rais awe na kiwango cha elimu kisichopungua shahada moja, mwenye utu na uwezo wa kuiwakilisha TFF ndani na nje ya nchi.

Hasa kwa kuzingatia kigezo namba 1, je bado unaamini hoja yako ina mashiko?
 
Michezo ina mahakama zake, wasijikoroge na mahakama yao kulazimisha chochote, hatutaiona simba ikicheza na kina mazembe.
Mahakama zake kivip, mbona rais wa FIFA giano infatino alikua anachunguzwa na mamlaka za uswiss,
Na jiulize kwanin sep blatter alikua anachunguzwa na u.s official

Mahakama sio serekali ni mhimili unaojitegemea ndo maana malinzi na wenzake walifunguliwa kesi na mahakama za Tanzania na Tanzania haikufungiwa na FIFA
 
Mahakama zake kivip, mbona rais wa FIFA giano infatino alikua anachunguzwa na mamlaka za uswiss,
Na jiulize kwanin sep blatter alikua anachunguzwa na u.s official

Mahakama sio serekali ni mhimili unaojitegemea ndo maana malinzi na wenzake walifunguliwa kesi na mahakama za Tanzania na Tanzania haikufungiwa na FIFA
Hao ni masuala ya Rushwa.
 
Back
Top Bottom