Magufuli turns Mnangagwa into a translator

Magufuli turns Mnangagwa into a translator

Tatizo lugha anaipenda ila haimudu..
Na ndio maana akiwa anaongea huwa anachomeka visamiati vya kemia ili aonekane na yeye yumo....acheni kumtia ujinga
dont act as a catalyst....because at the end of reaction u just remain the same....while other elements have lost their weight and volume..!!
 
Mbona wachina na wajapan hawasemwi? Tukienzi kiswahili
Tukienzi pale English inapoevaporate? Kiswahili tukienzi ila tukubaliane kwanza jiwe Phd hajui kingereza. Haiwezekani unasoma hotuba kingereza halafu unataka ujibu maswali kiswahili
 
Ubarikiwe Sana Mkuu, huyu mpuuzi anafikiri eti kila mtu anatamani kuwa rais au familia ya rais....what a nonsense???

Imagine ungekuwa familia ya Magufuli ungeweka sura yako kwa madudu anayofanya na anavyogeuka kituko?

Wengi wanaweza kutamani urais lakini hujipima kwa vigezo mbalimbali. Mtu asiyeweza kujipima kama anamudu nafasi hiyo anakuwa amepungukiwa.
 
PhD holder!!!
Whether we like it or not English is our language, this is very shameful for a PHD holder kuongea broken English.. I mean we start learning darasa la tatu all the way mpaka PHD with a dissertation juu, bado simple grammar inaleta tabu.
Aibu tupu

Nadhani tatizo kubwa zaidi ni mtu kutafuta nafasi kubwa kiasi hicho huku wakijua upungufu wake! Hope kuna Ha na ya vyama kuwa na language aptitude test kwa wagombea wa nafasi ya urais!
 
Lugha yetu tunaidharau wenyewe, huu ni umasikini wa akili wa kiwango cha juu kabisa

Hatuidharau kiswahili; tunataka tuijue vizuri na Kiingereza pia tujue vizuri. Kutukuza Kiswahili siyo kutojua Kiingereza. Tusitutumie kichaka cha kuenzi kiswahili kuficha udhaifu wetu katika kiingereza. Nawakumbuka waalimu wangu wawili wenyeji wa Mkoa wa Tanga waliokuwa wananivutia sana kwa kumudu lugha zote mbili.
 
Si anataka kuweka watu wajuaji na wenye kejeli kama akina Kabudi kwa wafanyakazi waliowakuta kwenye wizara wakati yeye mwenyewe skills za kuendesha shughuli hapo hana.

Sijui kama ni planned sabotage or what lakini hii issue ni serious blunder kwa wizara ya mambo ya nje aiwezekani wataalamu humo ndani na watu wanaoanda safari ya raisi wasijue mahitaji ya raisi katika safari zake na kuandaa mipango in advance yaani mpaka anafika nchi husika ina maana awakujua kwamba ataongea kiswahili na ni jukumu lao mkumpata mkaliman well in advance.

Nchi zote alizotembelea ni English-speaking. Hakuna mtu alitarajia kuwa mkalimani angehitajika. Pamoja na kutojiamini katika Kiingereza chake nadhani rais alitumia hiyo mbinu pia kukwepa maswali ya waendesha wa habari akijua mengine yatamsumbua.
 
Nchi zote alizotembelea ni English-speaking. Hakuna mtu alitarajia kuwa mkalimani angehitajika. Pamoja na kutojiamini katika Kiingereza chake nadhani rais alitumia hiyo mbinu pia kukwepa maswali ya waendesha wa habari akijua mengine yatamsumbua.
Ninaweza kuelewa upande wa wizara kutokujua (be it wanatakiwa wawe prepared either way kwa lugha zote as minutes takers, wanapo safiri na viongozi wa nchi awendi holiday bali kufanya kazi)

Lakini chief private secretary akwepi lawama alitakiwa ajue speech ya raisi in advance na lugha itakayo tumiwa na kama kuna maandalizi mengine yanahitajika awataarifu wengine.

Ntakubaliana na wewe upande wa pili it make sense si ajabu ilipangwa ivyo kwa makusudi kukwepa maswali magumu.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Ninaweza kuelewa upande wa wizara kutokujua (be it wanatakiwa wawe prepared either way kwa lugha zote as minutes takers, wanapo safiri na viongozi wa nchi awendi holiday bali kufanya kazi)

Lakini chief private secretary akwepi lawama alitakiwa ajue speech ya raisi in advance na lugha itakayo tumiwa na kama kuna maandalizi mengine yanahitajika awataarifu wengine.

Ntakubaliana na wewe upande wa pili it make sense si ajabu ilipangwa ivyo kwa makusudi kukwepa maswali magumu.

Mnatafuta mtu wa kumbebesha lawama? Hapa hakuna. Kila kitu kilipangwa kufanyika kwa lugha ya Kiingereza; Kiswahili was totally out of the equation. Ghafla mkuu akaamua kutumia Kiswahili na akasema yeye mwenyewe hakuwa na mkalimani! You can imagine how baffled his hosts were! Must have been a very ingenious way of avoiding questions from the press. Ndani ya ujumbe wake wote aonekane angalau mtu wa kubahatisha hadi wanamuachia Mnangagwa!
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Mnatafuta mtu wa kumbebesha lawama? Hapa hakuna. Kila kitu kilipangwa kufanyika kwa lugha ya Kiingereza; Kiswahili was totally out of the equation. Ghafla mkuu akaamua kutumia Kiswahili na akasema yeye mwenyewe hakuwa na mkalimani! You can imagine how baffled his hosts were! Must have been a very ingenious way of avoiding questions from the press. Ndani ya ujumbe wake wote aonekane angalau mtu wa kubahatisha hadi wanamuachia Mnangagwa!
Nadhani kungekuwa na clip ya video ingetoa maelezo zaidi, kama ni written speech alitumia wakati anaongea na ipo kwa kiswahili ni straight forward lengo lilikuwa kuhutubia kwa kiswahili from the outset na wasaidizi wake ndio wakulaumiwa kwa kutojipanga.

Na kama alijikuta kwenye eneo ambalo alilazimika kuongea na kuamua kutumia kiswahili ghafla still wasaidizi wake wakulaumiwa wanatakiwa wajue ratiba za raisi muda wote kutoka kwa hosts wao na kumuuliza bosi ana mpango gani kabla ya kumpeleka (the idea is not to embarrass the leader or the nation) hiyo ndio kazi yao.

Hizi nchi za wenzetu ukiona documentary kiongozi kama waziri tu anavyosafiri kuiwakilisha nchi wataalamu wa foreign wanakuwa washapokea list ya ratiba kutoka kwa private secretary wake na wao kama sehemu yao ya kazi wanatuma wataalamu wa kum-coach kutokana na huko aendako kuanzia namna ya kusalimia, kukwepa maneno ambayo yanaweza kuwa ya kawaida kwao lakini ni offensive huko ugenini, kitu gani anaweza kataa na kitu gani lazima apokee kwa mila za huko bila ya kuwa offend wenyeji, anatarajia kusema nini hili wahakikishe anatumia maneno sahihi kwenye speech yake, ataenda wapi na utaratibu ukoje kama ni maeneo ya kimila au dini kusudi afuate rituals sahihi etc na ratiba yake.

Ninauakika ni kawaida sana ata kwetu enzi za JK alikuwa akienda London timu kwanza inafika kuandaa mazingira yote yapo sawa kutokana na ratiba yake iwaje hawa wasijue mahitaji ya raisi na kumuuliza yeye mipango yake pamoja na hosts wake wajipange.

Linapokuja swala la raisi kukiwa na makosa ya maandalizi lawana ni kwa wasaidizi tu, labda yeye mwenyewe aropoke au afanye mambo out of the blue ambayo hayapo kwenye script kama Trump.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Magufuli turns Mnangagwa into a translator

SWAHILI speaking Tanzanian leader John Pombe Magufuli, on Wednesday turned President Emmerson Mnangagwa into a translator, after it emerged none among the aides at the State House function in Harare could perform the function except for the Zanu PF leader.

Magufuli was in Zimbabwe on a two-day State visit and in his final address to the media before departure spoke mainly in Swahili the biggest language in East Africa forcing his host to help bemused local journalists.

The Tanzanian leader was announcing his government had a maize surplus and was ready to help hunger stricken Zimbabwe.

After speaking exclusively in his native Swahili, Magufuli turned to the journalists present and said: “I Know you will cut some of the words.”

Mnangagwa’s spokesperson George Charamba tried but could only manage one word.

“I just heard ‘mwaka’ meaning season,” Charamba said before Mnangagwa noticing the handicap among his country-men turned translator.

Earlier on, Tuesday at a banquet held at State house, Magufuli told the media that he could not find a translator for his speech thus he was now forced to read his written speech which was in English.

Introducing him to the media Mnangagwa jokingly said President Magufuli is ready for questions but he only speaks Swahili.

“With me here is President Magufuli of the Republic of Tanzania, who came here by invitation reciprocating my visit to Tanzania. We have had discussion to promote, deepen and to consolidate relations, he is at your disposal if you want to ask questions but he speaks only Swahili,” Mnangagwa said.

Mnangagwa had asked Magufuli if he had a translator among his staffers to which the Tanzanian responded in the negative before carrying on.

Translating his first brief, Magufuli further said he came to Zimbabwe to cement the bilateral relations between the two nations. He said the two leaders had agreed on several issues which including trade, tourism, and infrastructure.

“I came here to cement the bilateral relations between Zimbabwe and Tanzania. I am only a catalyst and I am confident that the talks between the two nations will continue,” he said resorting to Swahili before breaking into laughter.

During the liberation struggle Mnangagwa operated as a guerrilla in Tanzania were Zanu had several bases from which he probably learnt Swahili.



Yamesemwa mengi kuhusiana na lugha anazomudu mheshimiwa wetu mpendwa rais wa wanyonge.

Kwa mujibu wa mheshimiwa Mnangangwa, maswali ni kwa kiswahili tu maana ndiyo lugha pekee ambayo mgeni wake anayo imudu:

[

Kazi kweli kweli = hapa kazi tu.
Wanamwonea Rais wetu mkombozi wa Tanzania.. wivu tuu.
tapatalk_1559335227002.jpeg
 
magufuli kama.mimi tuu.. napenda sana kiongea kidhungu lakini kinajipiga chenga
Sasa jamaa kakaa uingereza wakati anasoma chuo, sijui alikuwa anaongea bunsen burner kila wakati! Hawa viongozi wasioji changanya hawa!
 
Kwani Putin amefundishwa kwa Lugha gani mkuu?

Rais Putin anazugumza kwa ufasaha mkubwa Kiingereza, Kijerumani na Kirusi(Russian)!kama jasusi mbobezi kuna lugha nyingine anazungumza ila wanaficha(mfano Kichina, Kifaransa, Kijapani, Spanish)!
 
Slavery mentality thinking Bro! Mimi nimesomea UK lakini Kiingereza sikipendi sana kukitumia baada ya kujua sababu ya wazungu kuwalazimisha babu zetu kutumia Kiingereza chao! Soma hapa chini utaelewa.

View attachment 1112344
Issue hapa ni kwanini hotuba iliyokuwa imeandikwa(aliyoisoma) ilikuwa ni ya Kiingereza na maswali yawe kwa Kiswahili, hiyo inahitimisha ya kuwa si kwamba anakipenda Kiswahili bali ni tatizo la kutokumudu kuongea Kiingereza ndiyo kiini cha mkanganyiko hapo.
Kama kweli anakipenda na ana nia ya kukitukuza Kiswahili basi hata hotuba yake aliyoisoma ingekuwa ya Kiswahili.
Swali muhimu hapa,shule amesomaje? Kiingereza hajui siyo siri, mpaka kufika kiwango cha PHD alikuwa akisoma masomo yake kwa Kiswahili? Manake kuna vichaa wanakuja na mifano ya akina Putin(who speaks German like a native) na wengineo waliosoma kwa lugha zao mpaka wanahitimu.
Usanii wa aina yoyote hauna nafasi hapa, tukubali Kiingereza kwake imekuwa ni kitendawili, twende naye taratibu kwani ndiyo kiongozi wetu na taswira ya nchi yetu na tutafika tu hata kama ni kwa aibu.
 
Yani wewe ni mshamba
Kaka Kiingereza cha Mbowe ni level nyingine

Unajua mtoto wa tajiri hata akiwa mchafu watu humuita msafi na kumpigia magoti

Kaka mtoto wa tajiri huongea Kiingereza tofauti na maskini

Endelea kujilinganisha familia ya Mbowe na Babu yako mvaa kandambili zilizotoboka katikati

Mbowe ni next level kwenye lugha ya malkia

Tangu lini maskini akaongea lugha ya kueleweka mbele ya tajiri, Tajiri hata akikosea watu huzalisha msamiati aliotamka tajiri na kuingiza kwenye kamusi
 
Pamoja na kwamba hajali mambo kama haya lakini hili litamsumbua sana. Kujua lugha ni jambo muhimu sana kwa kiongozi.

Ikulu wajipange hata kumpa tuition la sivyo hutuba zake zote ziwe kwa kiswahili na asichomekee hata neno moja la kingereza ili dunia ijue huyu jamaa ji mswahili na PHD yake ni ya kiswahili


Tatizo jingine ni kwamba anakichukia kingereza kwa sababu hakijui na si kwa sababu anapenda lugha yake yamkini hata kiswahili hakijui.

Wengi tunao kama ni tatizo dogo lakini haya ni matokeo ya elimu yetu na UDSM lazima waone aibu kwa sabahu kimekua chuo cha kupiga stamp wanasiasa

Mtu kama mwigulu, mkumbo etc huwezi hata siku moja kukubali kama wana phd.


Issue hapa ni kwanini hotuba iliyokuwa imeandikwa(aliyoisoma) ilikuwa ni ya Kiingereza na maswali yawe kwa Kiwahili, hiyo inahitimisha ya kuwa si kwamba anakipenda Kiswahili bali ni tatizo la kutokumudu kuongea Kiingereza ndiyo kiini cha mkanganyiko hapo.
Kama kweli anakipenda na ana nia ya kukitukuza Kiswahili basi hata hotuba yake aliyoisoma ingekuwa ya Kiswahili.
Swali muhimu hapa,shule amesomaje? Kiingereza hajui siyo siri, mpaka kufika kiwango cha PHD alikuwa akisoma masomo yake kwa Kiswahili? Manake kuna vichaa wanakuja na mifano ya akina Putin(who speaks German like a native) na wengineo waliosoma kwa lugha zao mpaka wanahitimu.
Usanii wa aina yoyote hauna nafasi hapa, tukubali Kiingereza kwake imekuwa ni kitendawili, twende naye taratibu kwani ndiyo kiongozi wetu na taswira ya nchi yetu na tutafika tu hata kama ni kwa aibu.
 
Haya ni mawazo ya kienyej sana
Huwezi kuelewa coz kichwa chako kimejiandaa kutokuelewa. Wewe ni miongoni mwa wanaoamini kujua kiingilishi ndio kua na AKILI. Nilipokua Chuo kuna mwalimu alikua ana anaweka tick kwenye vikey point tu.Kama ni practical report ye anacheza na key point tu.Aone Molarity ngapi,conc, Weight.... na hivi ndivyo watu wa sayansi wengi wanavyosoma. Huwezi kufananisha na Yule anayetakiwa aeleze story za Ngoni Invasion au achambue story ya this time tomorrow.
 
Back
Top Bottom