Magufuli turns Mnangagwa into a translator

Magufuli turns Mnangagwa into a translator

Kila mtu na mkate wake,kama kila mtu akitaka kuwa Rais,mambo mengine atafanya nani?
Mtu yeyote mwenye sifa anaweza kuwa Rais,ni game tu!Hata IDD Amin alikuwa Rais!!!!Kuwa Rais sio kwamba umebarikiwa sana kuliko binadamu wengine!


Ya na ndo maana yake, Raisi wa JMTZ anaweza kuwa 1 tu, na kila mtu anataka kuwa mmoja wapo na katika wote Magufuli ndiye aliyepita, ni lazima hilo liheshimike pia, utake usitake, kwani wewe na ukoo wenu hamuwezi kufikia alipofikia hata kwa miaka 1000 ijayo, hivyo kumcheka mtu kama huyo ni low IQ!
 
Hata idd Amin, Osama bin Laden, Bokassa wote hao majina yao yamebakia...same to huyo MAGUFULI wako aliyeharibu kila kitu

Rais wa ajabu kabisa kuwahi kutokea. Ni AIBU kwa kila mtanzania

Hao wote ni chosen kwani wengi walitaka hizo nafasi lkn hawakuzipata, hata wewe, Babako, Mbowe, Tundu, Lowasa, Zito & Co. mngependa kufikia alipofikia Magufuli leo hii, i.e. Raisi wa JMTZ kama mngetoboa lkn mmeshindwa na haitotokea, aliyepita ni lazima aheshimike utake usitake!
 
Ya na ndo maana yake, Raisi wa JMTZ anaweza kuwa 1 tu, na kila mtu anataka kuwa mmoja wapo na katika wote Magufuli ndiye aliyepita, ni lazima hilo liheshimike pia, utake usitake, kwani wewe na ukoo wenu hamuwezi kufikia alipifikia hata kwa miaka 1000 ijayo, hivyo kumcheka mtu kama huyo ni low IQ!
Hahahahahaaaa,nani kakwambia kila mtu anataka kuwa Rais?Ingekuwa hivyo tungeona watu million 25+++ wakichukua fomu kwenye vyama vyao kutafuta nafasi hizo!!!
Kama unaona Rais ni binadamu kuliko wewe basi akili yako ina matatizo!!!
Nina furaha na kujivunia kuwa kwenye ukoo na familia niliyopo,siwezi kubadilisha hiki nilichonacho kwa chochote!Yaani kwa offer yoyote hata kuwa Rais wa USA siwezi kukubali kuwa kwenye familia nyingine!I wouldnt trade any of those wonderful moments with my family for anything!!!
Pole yako wewe!!!
 
Hahahahahaaaa,nani kakwambia kila mtu anataka kuwa Rais?Ingekuwa hivyo tungeona watu million 25+++ wakichukua fomu kwenye vyama vyao kutafuta nafasi hizo!!!
Kama unaona Rais ni binadamu kuliko wewe basi akili yako ina matatizo!!!
Nina furaha na kujivunia kuwa kwenye ukoo na familia niliyopo,siwezi kubadilisha hiki nilichonacho kwa chochote!Yaani kwa offer yoyote hata kuwa Rais wa USA siwezi kukubali kuwa kwenye familia nyingine!I wouldnt trade any of those wonderful moments with my family for anything!!!
Pole yako wewe!!!

Maneno ya mkosaji hayo, unajua chadema wametumia bilioni ngapi ili kutaka kutoa Raisi wa JMTZ? Kuhusu kuchukua fomu wengi hawachukui kwa sababu wanajua nafasi ya kupita ni ndogo sana lkn siyo kwa sababu hawataki kuwa Raisi wa JMTZ.

Kila mtu angependa kuwa Raisi wa JMTZ kama angepata hiyo nafasi, lkn ni 1 tu ndo anayeweza kuwa, huo ni ukweli usiopingika!
 
Ubarikiwe Sana Mkuu, huyu mpuuzi anafikiri eti kila mtu anatamani kuwa rais au familia ya rais....what a nonsense???

Imagine ungekuwa familia ya Magufuli ungeweka sura yako kwa madudu anayofanya na anavyogeuka kituko?
Hahahahahaaaa,nani kakwambia kila mtu anataka kuwa Rais?Ingekuwa hivyo tungeona watu million 25+++ wakichukua fomu kwenye vyama vyao kutafuta nafasi hizo!!!
Kama unaona Rais ni binadamu kuliko wewe basi akili yako ina matatizo!!!
Nina furaha na kujivunia kuwa kwenye ukoo na familia niliyopo,siwezi kubadilisha hiki nilichonacho kwa chochote!Yaani kwa offer yoyote hata kuwa Rais wa USA siwezi kukubali kuwa kwenye familia nyingine!I wouldnt trade any of those wonderful moments with my family for anything!!!
Pole yako wewe!!!
 
Maneno ya mkosaji hayo, unajua chadema wametumia bilioni ngapi ili kutaka kutoa Raisi wa JMTZ? Kuhusu kuchukua fomu wengi hawachukui kwa sababu wanajua nafasi ya kupita ni ndogo sana lkn siyo kwa sababu hawataki kuwa Raisi wa JMTZ.

Kila mtu angependa kuwa Raisi wa JMTZ kama angepata hiyo nafasi, lkn ni 1 tu ndo anayeweza kuwa, huo ni ukweli usiopingika!
Kuwa Rais hakumfanyi kuwa binadamu zaidi kuliko wewe!Ndio maana kuna wengine baada ya kustaafu wamedharaulika sana na wengine kuishia jela kama sio kuuwawa!!!
Kama una uhakika wa future ya wanao,kwamba unaweza kuitunza familia yako na kuwapa elimu bora basi hiyo inatosha na utakuwa na furaha kuliko huyo anayelindwa hata wakati wa kujisaidia!
Maisha gani hayo?
 
Ubarikiwe Sana Mkuu, huyu mpuuzi anafikiri eti kila mtu anatamani kuwa rais au familia ya rais....what a nonsense???

Imagine ungekuwa familia ya Magufuli ungeweka sura yako kwa madudu anayofanya na anavyogeuka kituko?
Anatamani JPM angekuwa baba yake!!!Huo ni ujinga!
 
Kuwa Rais hakumfanyi kuwa binadamu zaidi kuliko wewe!Ndio maana kuna wengine baada ya kustaafu wamedharaulika sana na wengine kuishia jela kama sio kuuwawa!!!
Kama una uhakika wa future ya wanao,kwamba unaweza kuitunza familia yako na kuwapa elimu bora basi hiyo inatosha na utakuwa na furaha kuliko huyo anayelindwa hata wakati wa kujisaidia!
Maisha gani hayo?

Ndiyo Raisi ni binadamu zaidi yako, na ndo maana anaweza kukutoa Jela, wewe unaweza mtoa mtu Jela? Raisi wa JMTZ anaweza kuamua Dar yote iwe Zoo, wewe unaweza? Raisi wa JMTZ anaweza kuamua Rufij kwetu iwe Mji mkuu wa JMTZ, wewe unaweza?
 
Ubarikiwe Sana Mkuu, huyu mpuuzi anafikiri eti kila mtu anatamani kuwa rais au familia ya rais....what a nonsense???

Imagine ungekuwa familia ya Magufuli ungeweka sura yako kwa madudu anayofanya na anavyogeuka kituko?
Hahahahahaaaa,nani kakwambia kila mtu anataka kuwa Rais?Ingekuwa hivyo tungeona watu million 25+++ wakichukua fomu kwenye vyama vyao kutafuta nafasi hizo!!!
Kama unaona Rais ni binadamu kuliko wewe basi akili yako ina matatizo!!!
Nina furaha na kujivunia kuwa kwenye ukoo na familia niliyopo,siwezi kubadilisha hiki nilichonacho kwa chochote!Yaani kwa offer yoyote hata kuwa Rais wa USA siwezi kukubali kuwa kwenye familia nyingine!I wouldnt trade any of those wonderful moments with my family for anything!!!
Pole yako wewe!!!
 
Ndiyo Raisi ni binadamu zaidi yako, na ndo maana anaweza kukutoa Jela, wewe unaweza mtoa mtu Jela? Raisi wa JMTZ anaweza kuamua Dar yote iwe Zoo, wewe unaweza? Raisi wa JMTZ anaweza kuamua Rufij kwetu iwe Mji mkuu wa JMTZ, wewe unaweza?
Hayo ni mamlaka na si kwamba ni binadamu kuliko mimi!!!Mwambie ajipangie aishi miaka anayotaka,mwambie asiugue!!!!
Hii picha hapa chini ni ushahidi tosha kuwa yeye si binadamu kuliko wewe!!Hapo naona anapata kikombe Loliondo kwa babu,huyu ndiye kwako ni mungu mtu!Ujinga nao kipaji!

Screenshot_2019-03-07-09-37-48.png
 
Wewe gamba hujawahi msikia Mbowe akitema "slang" za kizungu??

Wewe unadhani viongozi wa upinzani wanafanana na Jiwe katika kutojua lugha ya kiingereza??

Huyu ni PhD holder gani, ambaye lugha ya malkia inampiga chenga??
Kwahiyo wewe na wajinga wenzio umeona kingereza ndiyo mkombozi wako?mbwa kabisa inamaana marais wote duniani wanaongea kiingereza,mkalio wako,mama yako akaolewe na wanaojua kiingereza basi
 
Hayo ni mamlaka na si kwamba ni binadamu kuliko mimi!!!Mwambie ajipangie aishi miaka anayotaka,mwambie asiugue!!!!
Hii picha hapa chini ni ushahidi tosha kuwa yeye si binadamu kuliko wewe!!Hapo naona anapata kikombe Loliondo kwa babu,huyu ndiye kwako ni mungu mtu!Ujinga nao kipaji!

View attachment 1112551


Maneno ya mkosaji hayo, Binadamu tunazaliwa tofauti na huo ni ukweli kuupinga ni kujidanganya ndo maana prince wa Uingereza hajawahi fanya kazi tangia azaliwe lkn anaishi kwenye ma castle yaliojengwa na wananchi bureee.

Hivyo kusema wewe uko sawa na Kikwete, Mwinyi au Mkapa ni kujidanganya.
 
Haina shida maana sijawahi kumsikia Putin ama rais wa china akiongea lugha ya kigeni
Watu kama nyie ni wa kupuuzwa.. Warusi wanatumia kirusi kwenye elimu na media zao . Sasa huyu wa kwetu toka primary school mpaka PHD Kiingereza kinahusika. Anatia aibu
 
Maneno ya mkosaji hayo, Binadamu tunazaliwa tofauti na huo ni ukweli kuupinga ni kujidanganya ndo maana prince wa Uingereza hajawahi fanya kazi tangia azaliwe lkn anaishi kwenye ma castle yaliojengwa na wananchi bureee.

Hivyo kusema wewe uko sawa na Kikwete, Mwinyi au Mkapa ni kujidanganya.
Hahahahaaa,we endelea kutamani ungezaliwa na hao uliowataja!Muumba wetu ndiye ameweka huo usawa,usawa wa kibinadamu!Pesa na mamlaka ni mengineyo tu,mwisho wetu ni mmoja,KIFO!!!Watoto wa Gaddaffi waliishi maisha ya kitajiri na kifalme,yalipowageukia ikawaje?Waliuwawa kama kuku tu!Kuna watu walikuwa matajiri lakini baadaye wakafilisika!!!!Hayo yapo tu,hata mimi masikini wa leo huenda ndio tajiri wa kesho!!Abraham lincoln,alizaliwa familia masikini na alikuwa masikini,lakini akaja kuwa Rais wa USA!Pamoja na hayo alikuwa mtu wa watu ambaye alijua cheo na madaraka ni dhamana tu na ni vya mpito!!!!

Madaraka na utajiri havimfanyi mtu kuwa binadamu zaidi ya mwenzake!!!!!
 
Hahahahaaa,we endelea kutamani ungezaliwa na hao uliowataja!Muumba wetu ndiye ameweka huo usawa,usawa wa kibinadamu!Pesa na mamlaka ni mengineyo tu,mwisho wetu ni mmoja,KIFO!!!Watoto wa Gaddaffi waliishi maisha ya kitajiri na kifalme,yalipowageukia ikawaje?Waliuwawa kama kuku tu!Kuna watu walikuwa matajiri lakini baadaye wakafilisika!!!!Hayo yapo tu,hata mimi masikini wa leo huenda ndio tajiri wa kesho!!Abraham lincoln,alizaliwa familia masikini na alikuwa masikini,lakini akaja kuwa Rais wa USA!Pamoja na hayo alikuwa mtu wa watu ambaye alijua cheo na madaraka ni dhamana tu na ni vya mpito!!!!

Madaraka na utajiri havimfanyi mtu kuwa binadamu zaidi ya mwenzake!!!!!


Hata Maandiko na Dini zinatambua kwamba Binadamu tunazaliwa tofauti, unafikiri kwa nini Papa anaitwa Baba Mtakatifu? Kwa nini Mtume Muhamad alikuwa Binadamu? Kwa nini Yesu alizaliwa na kuishi kama binadamu?

Vitabu vya Dini vyote vinatambua kwamba kuna binadamu wanaoteuliwa kwa kazi maalumu hapa Duniani hata budism kuna Dalai lama, na siyo kila mbudisti anaweza kuwa Dalai lama au siyo kila Mkatoliki anaweza kuwa Papa!
 
Hata Maandiko na Dini zinatambua kwamba Binadamu tunazaliwa tofauti, unafikiri kwa nini Papa anaitwa Baba Mtakatifu? Kwa nini Mtume Muhamad alikuwa Binadamu? Kwa nini Yesu alizaliwa na kuishi kama binadamu?

Vitabu vya Dini vyote vinatambua kwamba kuna binadamu wanaoteuliwa kwa kazi maalumu hapa Duniani hata budism kuna Dalai lama, na siyo kila mbudisti anaweza kuwa Dalai lama au siyo kila Mkatoliki anaweza kuwa Papa!
Hakuna kitu kama hicho,ukiondoa Yesu,Mungu humpa akili na maarifa kila binadamu!Namna utakavyoitumia akili yako utashi huo unabaki kwako!Hakuna aliyezaliwa ili aje kuwa Rais,Tajiri,Masikini NK!
Ndio maana kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake na si kile alichokuwa nacho!!!!
Wewe endelea kuamini Rais ni binadamu kuliko wewe,mimi naamini binadamu wote ni sawa katika nyanja hiyo ya ubinadamu!
Mamlaka,vyeo na pesa ni mengineyo tu!!!
 
Hakuna kitu kama hicho,ukiondoa Yesu,Mungu humpa akili na maarifa kila binadamu!Namna utakavyoitumia akili yako utashi huo unabaki kwako!Hakuna aliyezaliwa ili aje kuwa Rais,Tajiri,Masikini NK!
Ndio maana kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake na si kile alichokuwa nacho!!!!
Wewe endelea kuamini Rais ni binadamu kuliko wewe,mimi naamini binadamu wote ni sawa katika nyanja hiyo ya ubinadamu!
Mamlaka,vyeo na pesa ni mengineyo tu!!!


Kwa nini unamuondoa Yesu? Hata alikuwa ni binadamu pia, isitoshe labda kama unapingana na maandiko ya dini za kiabrahamu kwani zote zinatambua kwamba kuna watu wanakuja hapa Duniani kwa kazi maalumu, na ndo maana kuna neno Masia.
 
Back
Top Bottom