Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,768
- 49,934
Tusitetee ujinga. Wengi tumesoma Sayansi lakini hatuna matatizo ya hii lugha yetu ambayo ni rasmi. English:Huwezi kuelewa coz kichwa chako kimejiandaa kutokuelewa. Wewe ni miongoni mwa wanaoamini kujua kiingilishi ndio kua na AKILI. Nilipokua Chuo kuna mwalimu alikua ana anaweka tick kwenye vikey point tu.Kama ni practical report ye anacheza na key point tu.Aone Molarity ngapi,conc, Weight.... na hivi ndivyo watu wa sayansi wengi wanavyosoma. Huwezi kufananisha na Yule anayetakiwa aeleze story za Ngoni Invasion au achambue story ya this time tomorrow.
1) ni moja ya lugha zetu rasmi
2) ni lugha ya kufundishia masomo
3) ni lugha yetu ya kimataifa (Kiswahili hakimo)
4) ni lugha yetu rasmi ya sheria
Kama hujui lugha yako rasmi, lugha uliyoitumia kwenye masomo, lugha yako pekee inayotumika kwenye mawasiliano ya kimataifa, ni jambo linaloleta maswali mengi. Hapa siyo suala ya kukuza Kiswahili na hakuna suala la uzalendo bali kuna tatizo kubwa ambalo halisemwi.
Kwetu sisi Lugha ya English siyo suala la lugha bali ni taaluma ya lazima kwa kila aliye msomi.
English and Mathematics, hata kwenye mfumo wetu wa Elimu ya Msingi mpaka Sekondari, ndiyo masomo yaliyopewa uzito kuliko masomo yote. Na usipoyafanya vizuri unashushwa daraja hata kama ulifanya vizuri kwenye masomo mengine.
Huyu mwezetu ilikuwaje afike huko akiwa hajui kabisa hata ile misingi ya awali kabisa ya English.
Yaani anafikia kutamka:
womens, mens, etc!!!! Ngumu kuelewa.
Msisahau kuwa Mwalimu Nyerere pia alisoma Sayansi.