Certainly you are son of a bastard, you dont even know what I was trying to address. something fu*king you in your head.
Mbowe ni rais wako peke yako sisi hatuhusu huko Zimbabwe, shida ya tabia za ukeweza.Mbona mbowe sijawahi kumuona akiongea english?
Mbowe ni rais wako peke yako sisi hatuhusu huko Zimbabwe, shida ya tabia za ukeweza.Mbona mbowe sijawahi kumuona akiongea english?
Mbowe ni rais wako peke yako sisi hatuhusu huko Zimbabwe, shida ya tabia za ukeweza.Mbona mbowe sijawahi kumuona akiongea english?
Mbowe ni rais wako peke yako sisi hatuhusu huko Zimbabwe, shida ya tabia za ukewenza.Mbona mbowe sijawahi kumuona akiongea english?
"Kiingeleza" ndio nini?Watu kama wewe mara nyingi mnakuwa na uwezo mdogo wa kufikiri na pia mnakuwa na mawazo mgando sana.... Too negative
sasa kwani kushindwa kujua kiingeleza na kushindwa kufanya Mawasiliano.?
Hakuna watafasiri wa Lugha?
Mbona wachina na mataifa mengine Km India huja hapa Tanzania na watafasiri kufanya Mawasiliano??
Watu wengine Km wachawi vile? Hakuna hata siku moja mnakuwa na mawazo positive.... Always negative tu...
Wewe ni mpuuziMbona Rais wa China hutumia lugha Yao ya kichina ktk mikutano yake ya nje na ndani ya nchi? Mwacheni mheshimiwa Rais afanye kazi yake akitumia lugha ya taifa lake. Kwani lugha ya kiingereza ndiyo inaleta maendeleo? Kama ni hivyo taifa la China lingefika hapo lilipo kiuchumi?
Walikuwapo ila nao kiingereza ndoho! Kinaishia good morning sir!Inakuwaje wasaidizi wake wasiwepo kutafsiri inamaana hata Msigwa hakuwepo.
Anaongeaga mbona. Kuna siku nilimsikia akisema over my dead body. Au hiyo sio English?Mbona mbowe sijawahi kumuona akiongea english?
Uzwazwa kutumia lugha chafu, mitusi kama mtu mwenye matatizo ya akili au malezi.rudia kusoma nilichomuuliza wewe zwazwa
Hahah mbona hiyo Conservative katamka kama ana kithembe ?Hata Kabudi hafikii std ya Mbowe kwa lugha ya malikia.
Mbowe ni namba nyingine, usijaribu kumlinganisha na matikiti maji ya CCM tafadhali!!!Mbona mbowe sijawahi kumuona akiongea english?
Sio msimamo aache kujificha kwenye kichaka cha msimamo... Aende shule akajifunze lugha!!Ohh that is my president, yaani nafurahi sana anaposimamia msimamo wa lugha yetu. Mungu ambariki sana Dr Magufuli!!
Sasa hii si anasoma tu man...Hata Kabudi hafikii std ya Mbowe kwa lugha ya malikia.
wewe ni zwazwa tu hakuna tusi lingine linakufaaUzwazwa kutumia lugha chafu, mitusi kama mtu mwenye matatizo ya akili au malezi.
ukisha jijua upo dahifu eneo fulani sio vizuri kujikweza,hatukatai kuwa kiongozi mzuri sio lazima kujua lugha.Jamaa sio kiongozi mzuri but yeye anajiona kama kiongozi mzuri ndio maana wanatumia udhaifu wake wa kutofahamu vyema lugha kama kukejeli fulani.Tunafanana kwamba sio lazima kwa kiongozi mkuu wa nchi kujua sana kiingereza ndio uthibitisho kwamba huyo ni kiongozi mzuri.
Sasa watu wanaombeza kiongozi wetu kwamba eti hafahamu kiingereza vizuri siwaelewi mantiki yao,
Sio lazima mtu kufahamu lugha ya kiingereza vizuri ndio uthibitisho kwamba ni kiongozi mzuri