mkuuwakaya
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 1,195
- 1,626
Ila kwenye kukariri yuko vizuriMagufuli hajui kuongea kiingereza anajua kutamka maneno ya kingereza tena ya kemia aliyosoma darasani, ukimuuliza kwa kingereza hasikii kabisa.
Ila kwenye kukariri yuko vizuriMagufuli hajui kuongea kiingereza anajua kutamka maneno ya kingereza tena ya kemia aliyosoma darasani, ukimuuliza kwa kingereza hasikii kabisa.
Hakuna alpha male anayesema anatamani awe Rais wa miaka miwili tu, hakuna alpha male anayelalamika kila siku kuwa amesukumizia urais na hakustahili, hakuna Alpha male mwenye inferiority complex. Hakuna alpha male wa namna hiyoAlpha Males make and break the rules. Magufuli ni Putin wa Tanzania.
Akatoa na definition kabisaCatalyst
Jinga sana wew....kwa hyo sayans inafundishws kwa kiswahili?Inawezekana hujui hata sera ya eĺimuNdio maana nikakwambia Rudi darasani. JPM ana PhD ya nini?Ana utofaut na huyo unayemsema haiitaji communication skills?Wafuatilie wote waliosoma sayansi utagundua kiingilishi ni shida coz wao English sio priority.
Kila mtu atakufa. Hata wewe na Magufuli mtakufa kwenda kuhukumiwa na m/Mungu.Mkuu aliyetaka kutoa ukweli analiwa na udongo sasa!! PHD ya miaka 3!! RIP BEN saa8
Ndio maana nikakwambia Rudi darasani.Ukiachana na Gardner Theory of Multiple Intelligences Kuna exposure pia. Nimesoma na watu wa aina hiyo wengi sana,Kuna jamaa alipiga A Math NECTA lkn ana F ya English. Sijui kama unaelewa kuwa ni kawaida sana. Mathematical intelligent hawezi kuwa sawa na Linguistic intelligent. Huyo jpm angekua na PhD ya linguistic au masomo ya kujieleza na blah blah nyingi basi tungehoji amewezaje kuwa na PhD na kwanini hajui kiingilishi. Mtu anayedeal na FACTS tu tena zilizojaa formula unashangaa kwanini hajui kiingilishi?Je huyo Magufuli ana exposure yyt kama wengine?Huwa anazunguka huko duniani?Je yuko interested na mambo ya kiingilishi kama majarida, novels nk?Yeye muulize KM ngapi za barabara bado au tayari, muulize sheria za barabara namba ngapi inasemaje. Utaona hata kiswahili chake nacho ni shida coz hayuko interested na hivyo vitu na sababu zingine.Jinga sana wew....kwa hyo sayans inafundishws kwa kiswahili?Inawezekana hujui hata sera ya eĺimu
Ubovu wa kuzungumzà kiingereza hauwez kuhalalishwà na kusoma sayans,kuna watu wamesoma art bado kiingereźa cha kuzungumza kibovu.Mkurugenzi moi dk amesoma sayans anaongea kiingereza kizur
Mkuu unataka aongee na naniMbona mbowe sijawahi kumuona akiongea english?
Kwani kuchangia lazima ujioneshe kwenye tvMbona hatumuoni akichangia harambee za kusaidia watoto yatima kama Mengi
Unachemka anapoongelewa Rais unasema mbona Mbowe wewe hata Mke akishindwa utasema hata Housegirl haweziMbona mbowe sijawahi kumuona akiongea english?
Haya ni mawazo ya kienyej sanaNdio maana nikakwambia Rudi darasani.Ukiachana na Gardner Theory of Multiple Intelligences Kuna exposure pia. Nimesoma na watu wa aina hiyo wengi sana,Kuna jamaa alipiga A Math NECTA lkn ana F ya English. Sijui kama unaelewa kuwa ni kawaida sana. Mathematical intelligent hawezi kuwa sawa na Linguistic intelligent. Huyo jpm angekua na PhD ya linguistic au masomo ya kujieleza na blah blah nyingi basi tungehoji amewezaje kuwa na PhD na kwanini hajui kiingilishi. Mtu anayedeal na FACTS tu tena zilizojaa formula unashangaa kwanini hajui kiingilishi?Je huyo Magufuli ana exposure yyt kama wengine?Huwa anazunguka huko duniani?Je yuko interested na mambo ya kiingilishi kama majarida, novels nk?Yeye muulize KM ngapi za barabara bado au tayari, muulize sheria za barabara namba ngapi inasemaje. Utaona hata kiswahili chake nacho ni shida coz hayuko interested na hivyo vitu na sababu zingine.
Nashinda na jamaa wanapiga programming hadi unashangaa lkn kiingilishi chao ni shida. Je unataka kusema jamaa hawana akili kisa hawajui kiingilishi wakati programming ni English?Nikupe mfano,Kuna mtoto alipata 4 ya 29 NECTA. Ndugu yangu akaniuliza Yule mtoto anaongea kiingilishi kizuri sana imekuaje kapata 4?Utaona huyu jamaa anaakili kama zako coz ye anaamini kiingilishi ndio akili na ukijua basi hata masomo yote utafaulu kisa tu ni ya kiingilishi. Rudi Shule kijana.




Speech alisoma kwa kingereza kuulizwa anataka aulizwe kwa kiswahili dah.
Hii defensive mechanism yako ni ya kitòto,you are completely out of the mattèr ãt hand,hapa hatuzuńgumzii intelligence bali mswasiliano ya lugha ya kiińgereza,unafikir wote wanaozungumza kiswahili ni wabobez?Mathalan mim kiswahili ni lugha yangu ya pili lakin nazungumza bila kujali nimesoma sayans au sanaa........sijui hoja yako hapa ninin?Ndio maana nikakwambia Rudi darasani.Ukiachana na Gardner Theory of Multiple Intelligences Kuna exposure pia. Nimesoma na watu wa aina hiyo wengi sana,Kuna jamaa alipiga A Math NECTA lkn ana F ya English. Sijui kama unaelewa kuwa ni kawaida sana. Mathematical intelligent hawezi kuwa sawa na Linguistic intelligent. Huyo jpm angekua na PhD ya linguistic au masomo ya kujieleza na blah blah nyingi basi tungehoji amewezaje kuwa na PhD na kwanini hajui kiingilishi. Mtu anayedeal na FACTS tu tena zilizojaa formula unashangaa kwanini hajui kiingilishi?Je huyo Magufuli ana exposure yyt kama wengine?Huwa anazunguka huko duniani?Je yuko interested na mambo ya kiingilishi kama majarida, novels nk?Yeye muulize KM ngapi za barabara bado au tayari, muulize sheria za barabara namba ngapi inasemaje. Utaona hata kiswahili chake nacho ni shida coz hayuko interested na hivyo vitu na sababu zingine.
Nashinda na jamaa wanapiga programming hadi unashangaa lkn kiingilishi chao ni shida. Je unataka kusema jamaa hawana akili kisa hawajui kiingilishi wakati programming ni English?Nikupe mfano,Kuna mtoto alipata 4 ya 29 NECTA. Ndugu yangu akaniuliza Yule mtoto anaongea kiingilishi kizuri sana imekuaje kapata 4?Utaona huyu jamaa anaakili kama zako coz ye anaamini kiingilishi ndio akili na ukijua basi hata masomo yote utafaulu kisa tu ni ya kiingilishi. Rudi Shule kijana.
Ohh that is my president, yaani nafurahi sana anaposimamia msimamo wa lugha yetu. Mungu ambariki sana Dr Magufuli!!
Speech angeiandaa basi kwa kiswahili angeeleweka. Siyo uhutubie kwa kiingereza ulazimishe kuulizwa kwa kiswahili.
Kuongea lugha usiyoimudu unaweza kuongea matusi bure.