fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,073
hujawahi msikiliza sio kumsikia, maana nanatema ngeli pamoja na uDJ wake
Mbona mbowe sijawahi kumuona akiongea english?
Mbona mbowe sijawahi kumuona akiongea english?
Sio nyie juzi mlikuwa mnashangilia rais kahutubia kwa kiingereza leo kashindwa kujibu kwa kiingereza mnasema anatukuza lugha yake.Kujua kiingereza sio ndio kuwa na akili au uwezo mkubwa wa kiuongozi, nafahamu rais wa China hajui kabisa kiingereza, Chancellor wa ujerumani hajui kiingereza , hao ni viongozi wa nchi kubwa duniani na wanaheshimika Sana .
Jamani tuache kumbeza kiongozi wetu kwa suala la lugha ya kiingereza,
Alipokuwa anasoma speech kwa kingereza alikuwa anaonyesha nini kwanini basi asingeiandaa kwa kiswahili kuonyesha anaipenda lugha yake.
Speech angeiandaa basi kwa kiswahili angeeleweka. Siyo uhutubie kwa kiingereza ulazimishe kuulizwa kwa kiswahili.Mkuu unafanya kile Unaweza kufanya kwa usahihi kwa mazingira uwezo na wakati
Kuongea kiswahili nje ya nchi ni ujasiri uliopitiliza
PhD aliipata kwa lugha gani? China wanatumia lugha yao kuanzia chekechea mpaka chuo, huoni tofauti hapo?Kujua kiingereza sio ndio kuwa na akili au uwezo mkubwa wa kiuongozi, nafahamu rais wa China hajui kabisa kiingereza, Chancellor wa ujerumani hajui kiingereza , hao ni viongozi wa nchi kubwa duniani na wanaheshimika Sana .
Jamani tuache kumbeza kiongozi wetu kwa suala la lugha ya kiingereza,
Slavery mentality thinking Bro! Mimi nimesomea UK lakini Kiingereza sikipendi sana kukitumia baada ya kujua sababu ya wazungu kuwalazimisha babu zetu kutumia Kiingereza chao! Soma hapa chini utaelewa.Wewe gamba hujawahi msikia Mbowe akitema "slang" za kizungu??
Wewe unadhani viongozi wa upinzani wanafanana na Jiwe katika kutojua lugha ya kiingereza??
Huyu ni PhD holder gani, ambaye lugha ya malkia inampiga chenga??
Una uhakika Rais wetu ana weledi wa lugha ya kiswahili?ila napongeza juhudi za kuipa hamasa jamii ya kimataifa katika ku kikumbatia kiswahili ili kiwe lugha rasmi ya bara letu.Magufuli anakitangaza Kiswahili safi sana
Najiuliza APA Tanzania tunasoma lugha ya kingereza kuanzia form one mpaka chuo kikuu kwa masomo yote isipokuwa kiswahili, China na ujerumani wanasoma lugha zao kwa elimu yao mpaka wanamaliza chuo kikuu. Sasa Tanzania tuna fananishwaje na waoKujua kiingereza sio ndio kuwa na akili au uwezo mkubwa wa kiuongozi, nafahamu rais wa China hajui kabisa kiingereza, Chancellor wa ujerumani hajui kiingereza , hao ni viongozi wa nchi kubwa duniani na wanaheshimika Sana .
Jamani tuache kumbeza kiongozi wetu kwa suala la lugha ya kiingereza,
Huyu Mbowe ni Rais wa nchi gani?Mbona mbowe sijawahi kumuona akiongea english?
Wakikujibu praise team nijulisheNajiuliza APA Tanzania tunasoma lugha ya kingereza kuanzia form one mpaka chuo kikuu kwa masomo yote isipokuwa kiswahili, China na ujerumani wanasoma lugha zao kwa elimu yao mpaka wanamaliza chuo kikuu. Sasa Tanzania tuna fananishwaje na wao
Wewe unasema kajidhalilisha praise team wenzako wanasema anakitangaza kiswahili.ndio maana anaamua kujikalia zake nyumbani maana huko nje ni kudhalilishana tu
Tunafanana kwamba sio lazima kwa kiongozi mkuu wa nchi kujua sana kiingereza ndio uthibitisho kwamba huyo ni kiongozi mzuri.Najiuliza APA Tanzania tunasoma lugha ya kingereza kuanzia form one mpaka chuo kikuu kwa masomo yote isipokuwa kiswahili, China na ujerumani wanasoma lugha zao kwa elimu yao mpaka wanamaliza chuo kikuu. Sasa Tanzania tuna fananishwaje na wao
Mbona mbowe sijawahi kumuona akiongea english?
Kuongea lugha usiyoimudu unaweza kuongea matusi bure.Ni kheri aongee lugha anayoimudu.
Kuongea lugha usiyoimudu unaweza kuongea matusi bure. Bora tupambane na hii tunayoimudu.Ni kheri aongee lugha anayoimudu.
Wewe gamba hujawahi msikia Mbowe akitema "slang" za kizungu??
Wewe unadhani viongozi wa upinzani wanafanana na Jiwe katika kutojua lugha ya kiingereza??
Huyu ni PhD holder gani, ambaye lugha ya malkia inampiga chenga??
Sasa wewe Bashite hata ukimsikia Mbowe akitema kimombo utamwelewa? Yule ni mchaga baba siyo Mhutu, mwekezaji mwenye vitega uchumi ndani na nje ya nchi...unafikiri angekuwa kiazi kama huyo kiazi wenu angeweza kumiliki hotels Dubai, Nairobi, Durban na London? Uwe unajiuliza maswali kabla hujaja na ujinga wako hapa!Mbona mbowe sijawahi kumuona akiongea english?
Kumbe akiwa huku within ndo anatutisha na ki inglishi chake sijui intapretenyua, sijui dona kantre, akifika uko anaufyata, Kweeeeli (in Prof.Harmo's voice, in Churchill show)Mbona alikuwa na palamagamba kabudi kwanini aloshindwa msaidia rafiki yetu magufuli kutafsiri
Mbona hatumuoni akichangia harambee za kusaidia watoto yatima kama MengiSasa wewe Bashite hata ukimsikia Mbowe akitema kimombo utamwelewa? Yule ni mchaga baba siyo Mhutu, mwekezaji mwenye vitega uchumi ndani na nje ya nchi...unafikiri angekuwa kiazi kama huyo kiazi wenu angeweza kumiliki hotels Dubai, Nairobi, Durban na London? Uwe unajiuliza maswali kabla hujaja na ujinga wako hapa!