Magufuli turns Mnangagwa into a translator

Magufuli turns Mnangagwa into a translator

Mbowe anaingia vipi kwenye huu uzi? Viroba pamoja na marufuku wenzetu mwavipata wapi?
Huyu jamaa huwa anajitoa sana ufahamu.
tapatalk_1558852214951.jpeg
 
Ungesema Marais wote duniani wanaongea kiingereza ungekua na AKILI TIMAMU. Sasa kama Rais wa China hajui kiingereza na nchi inaenda ttz nini?Kuna siku Rais amekwama kufanya mambo yake kisa hajui kiingereza?Wewe unataka sifa au usiaibike kuwa Rais hajui kiingereza, je hili linakuongezea nini au kupunguza nini ktk Maisha yake kila siku?Mtu aliyeko kakonko anafaidika nini na Rais kuongea kiingilishi?Kama viongoz wakubwa wa mataifa yaliyoondelea wanatembea na wakalimani wao na mambo yanaenda, kwa JPM shida ni nini?
Una akili ndogo kweli, umeambiwa hapana excuse kwa mtu kushindwa kumudu lugha aliyoisomea toka sekondari hadi PhD, otherwise he is an academic cheat - huyu ni Dokta ujue? Na mnapenda kumtambulisha hivo, anatudhalilisha sana uelewa wake wa masuala makubwa unapokuwa mdogo kama wa Balozi wa nyumba kumi - in fact nawajua mabalozi wenye uelewa na kiingereza kizuri kuliko huyu kilaza!
 
Kwahiyo Marais wote duniani wanajua kiingereza na ni moja ya vigezo ktk kuwachagua?
Mbona nyinyi watu ni wapuuzi? Hakuna excuse kwa mtu, tena Rais wa nchi PhD holder kushindwa kumudu lugha ya Kingereza aliyoisomea hadi level ya PhD, na huyo mtu bado akawa kiongozi mkubwa kwa miaka lukuki kabla ya kuwa Rais...kama ni hivi huyu mtu is an academic cheat, bald fraud!
 
Mbona nyinyi watu ni wapuuzi? Hakuna excuse kwa mtu, tena Rais wa nchi PhD holder kushindwa kumudu lugha ya Kingereza aliyoisomea hadi level ya PhD, na huyo mtu bado akawa kiongozi mkubwa kwa miaka lukuki kabla ya kuwa Rais...kama ni hivi huyu mtu is an academic cheat, bald fraud!
Nimekuuliza Marais wote duniani wanajua kiingereza?
 
Mkuu unafanya kile Unaweza kufanya kwa usahihi kwa mazingira uwezo na wakati

Kuongea kiswahili nje ya nchi ni ujasiri uliopitiliza
Kwa kiswahili gani,??
 
Mbona nyinyi watu ni wapuuzi? Hakuna excuse kwa mtu, tena Rais wa nchi PhD holder kushindwa kumudu lugha ya Kingereza aliyoisomea hadi level ya PhD, na huyo mtu bado akawa kiongozi mkubwa kwa miaka lukuki kabla ya kuwa Rais...kama ni hivi huyu mtu is an academic cheat, bald fraud!
Worse enough sisi ni British colony na mfumo wetu unatumia English
 
Back
Top Bottom