Magufuli turns Mnangagwa into a translator

Magufuli turns Mnangagwa into a translator

Ohh that is my president, yaani nafurahi sana anaposimamia msimamo wa lugha yetu. Mungu ambariki sana Dr Magufuli!!

Ni huyu hapa anayesimamia lugha au lugha imempitia pembeni?



Ipo tofauti kubwa ya kusimamia lugha na lugha kumpitia mtu pembeni. Nadhani ukweli huo unaufahamu na mkweli ni mpenzi wa Mungu.
 
Ohh that is my president, yaani nafurahi sana anaposimamia msimamo wa lugha yetu. Mungu ambariki sana Dr Magufuli!!
Hapo ulipo kunywa kinywaji nakuja kulipia my dear... Umenifurahisha
 
unazurura kwa watu lakini huna uwezo wa kuwasiliana nao, aibu
Watu kama wewe mara nyingi mnakuwa na uwezo mdogo wa kufikiri na pia mnakuwa na mawazo mgando sana.... Too negative

sasa kwani kushindwa kujua kiingeleza na kushindwa kufanya Mawasiliano.?
Hakuna watafasiri wa Lugha?
Mbona wachina na mataifa mengine Km India huja hapa Tanzania na watafasiri kufanya Mawasiliano??

Watu wengine Km wachawi vile? Hakuna hata siku moja mnakuwa na mawazo positive.... Always negative tu...
 
Kujua kiingereza sio ndio kuwa na akili au uwezo mkubwa wa kiuongozi, nafahamu rais wa China hajui kabisa kiingereza, Chancellor wa ujerumani hajui kiingereza , hao ni viongozi wa nchi kubwa duniani na wanaheshimika Sana .
Jamani tuache kumbeza kiongozi wetu kwa suala la lugha ya kiingereza,
 
Watu kama wewe mara nyingi mnakuwa na uwezo mdogo wa kufikiri na pia mnakuwa na mawazo mgando sana.... Too negative

sasa kwani kushindwa kujua kiingeleza na kushindwa kufanya Mawasiliano.?
Hakuna watafasiri wa Lugha?
Mbona wachina na mataifa mengine Km India huja hapa Tanzania na watafasiri kufanya Mawasiliano??

Watu wengine Km wachawi vile? Hakuna hata siku moja mnakuwa na mawazo positive.... Always negative tu...
Mtu kasoma hadi phd na anasema kakaa hadi uingeleza sasa sijui alikuwa anatamka bunsen burner au??
 
Kwa hakika hakuna kosa

Nisahihi kabisa

Wachina wanapiga kichina

Warusi wanapiga kirusi

Waarabu wanapiga kiarabu

Kwangu mimi kwa hili Rais Magufuli yupo sahihi
Alipokuwa anasoma speech kwa kingereza alikuwa anaonyesha nini kwanini basi asingeiandaa kwa kiswahili kuonyesha anaipenda lugha yake.
 
Back
Top Bottom