Magufuli turns Mnangagwa into a translator

Magufuli turns Mnangagwa into a translator

Wewe gamba hujawahi msikia Mbowe akitema "slang" za kizungu??

Wewe unadhani viongozi wa upinzani wanafanana na Jiwe katika kutojua lugha ya kiingereza??

Huyu ni PhD holder gani, ambaye lugha ya malkia inampiga chenga??
Yaani huyu mzee haoni aibu kusema ni PhD holder wakati lugha ya malkia haijui
 
Kumbe akiwa huku within ndo anatutisha na ki inglishi chake sijui intapretenyua, sijui dona kantre, akifika uko anaufyata, Kweeeeli (in Prof.Harmo's voice, in Churchill show)
Magufuli hajui kuongea kiingereza anajua kutamka maneno ya kingereza tena ya kemia aliyosoma darasani, ukimuuliza kwa kingereza hasikii kabisa.
 
Kumbe akiwa huku within ndo anatutisha na ki inglishi chake sijui intapretenyua, sijui dona kantre, akifika uko anaufyata, Kweeeeli (in Prof.Harmo's voice, in Churchill show)
Magufuli hajui kuongea kiingereza anajua kutamka maneno ya kingereza tena ya kemia aliyosoma darasani, ukimuuliza kwa kingereza hasikii kabisa.
 
Ndugu zangu Watanzania umefika tuwajaribu wapinzani ili turudishe heshima ya taifa hili linaloangamizwa.
 
Utaendelea kuwa pumbavu
Rudi darasani ukasome vizuri. Sijui kama uliwahi kutana na mtu wa anapiga fresh Physics, Chemistry na Math lkn English anacheza na D au C au F kabisa na hata debate kwake HARAMU. Sijui kama unataka kusema mtu huyu hana AKILI.Rudi darasani uje na akili timamu.
 
Njia ya mwongo fupi ,alivyokuwa anasoma hotuba kiingereza kuja kwenye maswali hoi ,nataka kiswahili Lumumba njooni mtetee hoja .
 
Magu bhana. Acha tu aongee kiswahili. NI haki yake Ndio lugha yetu ya taifa. Wasiojua watafsiriwe, na walitafsiriwa na Rais Mnangagwa.
 
Rudi darasani ukasome vizuri. Sijui kama uliwahi kutana na mtu wa anapiga fresh Physics, Chemistry na Math lkn English anacheza na D au C au F kabisa na hata debate kwake HARAMU. Sijui kama unataka kusema mtu huyu hana AKILI.Rudi darasani uje na akili timamu.
Unabwabwaja tu hujui hata unatetea nn..hao watu hawaitaji communication skills
 
Unabwabwaja tu hujui hata unatetea nn..hao watu hawaitaji communication skills
Ndio maana nikakwambia Rudi darasani. JPM ana PhD ya nini?Ana utofaut na huyo unayemsema haiitaji communication skills?Wafuatilie wote waliosoma sayansi utagundua kiingilishi ni shida coz wao English sio priority.
 
Back
Top Bottom