Mbowe ni rais wa nchi gani? na alishafaya ziara ya kiserikali wapi akahutubia kwa kiswahili?Mbona mbowe sijawahi kumuona akiongea english?
Mbowe ni rais wa nchi gani? na alishafaya ziara ya kiserikali wapi akahutubia kwa kiswahili?Mbona mbowe sijawahi kumuona akiongea english?
Kaka Kiingereza cha Mbowe ni level nyingine
Unajua mtoto wa tajiri hata akiwa mchafu watu humuita msafi na kumpigia magoti
Kaka mtoto wa tajiri huongea Kiingereza tofauti na maskini
Endelea kujilinganisha familia ya Mbowe na Babu yako mvaa kandambili zilizotoboka katikati
Mbowe ni next level kwenye lugha ya malkia
Tangu lini maskini akaongea lugha ya kueleweka mbele ya tajiri, Tajiri hata akikosea watu huzalisha msamiati aliotamka tajiri na kuingiza kwenye kamusi






..Nimesema hivyo maana Yesu hakuwa binadamu wa kawaida,binadamu hupatikana pale mwanamke na mwanaume wanapokutana kimwili!Haikuwa hivyo kwa Yesu!Kwa nini unamuondoa Yesu? Hata alikuwa ni binadamu pia, isitoshe labda kama unapingana na maandiko ya dini za kiabrahamu kwani zote zinatambua kwamba kuna watu wanakuja hapa Duniani kwa kazi maalumu, na ndo maana kuna neno Masia.
Wewe gamba hujawahi msikia Mbowe akitema "slang" za kizungu??
Wewe unadhani viongozi wa upinzani wanafanana na Jiwe katika kutojua lugha ya kiingereza??
Huyu ni PhD holder gani, ambaye lugha ya malkia inampiga chenga??
Maraisi wangapi duniani hawajui english?Huyu ni rais wa ajabu kabisa kuwahi kutokea
Mr. "We must change that SORUTIONS"
Unauliza mjinga maswali magumu unategemea nini zaidi ya hasira? 😅Aliyekuambia usomi wa mtu hupimwa kwa kuongea kingereza nani?
Wewe gamba hujawahi msikia Mbowe akitema "slang" za kizungu??
Wewe unadhani viongozi wa upinzani wanafanana na Jiwe katika kutojua lugha ya kiingereza??
Huyu ni PhD holder gani, ambaye lugha ya malkia inampiga chenga??
Mbowe !?Kaka Kiingereza cha Mbowe ni level nyingine
Unajua mtoto wa tajiri hata akiwa mchafu watu humuita msafi na kumpigia magoti
Kaka mtoto wa tajiri huongea Kiingereza tofauti na maskini
Endelea kujilinganisha familia ya Mbowe na Babu yako mvaa kandambili zilizotoboka katikati
Mbowe ni next level kwenye lugha ya malkia
Tangu lini maskini akaongea lugha ya kueleweka mbele ya tajiri, Tajiri hata akikosea watu huzalisha msamiati aliotamka tajiri na kuingiza kwenye kamusi
Acha kuchanganya lugha.PhD holder!!!
Whether we like it or not English is our language, this is very shameful for a PHD holder kuongea broken English.. I mean we start learning darasa la tatu all the way mpaka PHD with a dissertation juu, bado simple grammar inaleta tabu.
Aibu tupu
Kuna watu humu bado miaka mingi sana ya kujikomboa kiakili.Lugha yetu tunaidharau wenyewe, huu ni umasikini wa akili wa kiwango cha juu kabisa
Aliongea naye kupitia waziri Kabudi.Merkel alizungumza na Rais kwa simu kwa lugha ipi mpaka akaahidi kutujengea kiwanda cha mbolea nambari wani Afrika kwa ukubwa? Walielewana vizuri sana.
Mhutu na kiswahili wapi na wapi Mkuu! Na hapo ndiyo kaishi Bongo tangu akiwa mtoto. Ana lafudhi mbaya sana LAIS, NIMEFULAHI
Mbowe umeshindwa garammar ya darasani na ya mtaani ndio maana huwa anachomekea vocabularies anazopata pata akiwa machame karibu na wascotish wanao panda mlima.Mbona mbowe sijawahi kumuona akiongea english?
Wabhonye WeweIlamubhonye kweli
Hata hivyo "usomi" wa Tanzania unapatikana kwa Kiingereza! Tusijifiche kwenye vitu vyepesi!Aliyekuambia usomi wa mtu hupimwa kwa kuongea kingereza nani?