Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,578
- 7,281
CCM wanafanya usaliti uonekane ni kitu cha kawaida sana. Mtu akishauri tofauti na walichotegemea basi wao ni msaliti. Nikisema simpendi JPM basi nageuka kuwa msaliti. Sijui wale wenye nia ya kupindua serikali au kumng'oa mwenyekiti wao watawapa jina ghani.Amen, blessed for this strong message
Wasaliti wa Nchi wamebaki kama vichaa hawajui washike lipi