technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Story za Magufuli zinakuwaga na utata!
Siasa ni siasa tu, mmesahau ya Tundu Lissu kumiminiwa marisasi 19 mwilini bila huruma?
Hivi Kama Hitler angekufa katika Vita ya kwanza ya dunia, maana alijeruhiwa, wanadamu karibu milioni 20 wakiwemo Wayahudi milioni 6 wangekufa kwa halaiki chini ya ukatili wa NAZI!!!?Hapa ndo huwa tunasema when GOD chose you nothing bad will hapen to you
Wewe ni mchaguliwa
am proud of you Sir
Ila, God did not choose Tundu Lisu ehe!!!?Hapa ndo huwa tunasema when GOD chose you nothing bad will hapen to you
Wewe ni mchaguliwa
am proud of you Sir
Hao watakuwa watu waliotaka urais wa nchi wakaona pengine Magufuli angekuwa tishio lao baada ya Mkapa kumaliza kipindi chake. Kumbe ule mtandao ulikuwa hatari sana sana na ulijipanga kuichukuwa nchi kwa namna yoyote. Nilikuwa napuuza wale walikuwa wanasema kifo cha mwalimu Nyerere kilikuwa cha utata lakini sasa naanza kupata mwanga.... (NB: Katika kuelezea hao waliompa sumu amesema ''baadhi ya mawaziri walianza kunichukia... tena wengine wa ngazi za juu kabisa'').Hili lilikuwa swali la kwanza nililojiuliza. Kama bado wapo waanze kujihesabia maumivu, kwa sababu kumbukumbu zimeletwa mbele. Mafaili yamepanguswa mavumbi.
Afadhali mitusi kuliko RISASI KAMA ZA LISSUKwani wabunge wa Chadema waliotaka kumteka na kumuua meya Jacob wa ubungi kamati kuu ya Chadema iliwachukulia hatua gani baada ya Meya kulalamika?
Nauliza tu bwashee maana huchelewagi kutukana mitusi!
Siasa ni siasa tu, mmesahau ya Tundu Lissu kumiminiwa marisasi 19 mwilini bila huruma?