Ilitangazwa ila kwa kuwa haikuwa as serious haikufikia kupelekwa nje kwa matibabu.Hii ya Magufuli haikutangazwa Mkuu, iliisha kimya kimya
Ahsante kwa mchango wako juu ya tafsiri.Wacha kudanganya watu mkuu
Umetafsiri vibaya biblia
Hayo maneno yanazungumzia hukumu na sio mahakamAni,huenda ni hukumu ya mbinguni au ya maneno ya watu wale wapenda kuhukumu
Naipongeza serikali ya awamu ya tano kwa kuwezesha rais Magufuli kuzindua kitabu cha rais mstaafu Mkapa.
Happy birthday Ben.
Hopefully.Even Tundu Lissu survived because God has a purpose with him, he's the 6th President of Tanzania.
Magufuli ordered his assassination even the world knows this, so Magufuli shall pass away and leave Lissu alive
Unapofanya mambo mazuri , watu watakuchukia hii ni kawaida sana
PhD kuhojiwa tu mtu anapotea...; basi sawa!Magufuli ni mtu wa kusamehe, hana kinyongo
100%Sisi wazalendo tunamuunga mkono Mh Rais