Ryan Holiday
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,860
- 3,920
Ili kundi lililowapa sumu JPM (rip), Mwakyembe, Mangula, nk halikuishia hapo nawaza hata vifo vya "corona" vya viongozi wetu kuanzia Mkapa, Mfugale, ni kundi hilo. Kutoka moyoni mwangu naamini kundi hilo watafikia wakati wataanza kupeana sumu wao kwa wao na hapo ndipo kuna mtu miongoni mwao ataasi na kumwaga Siri zote. Jiulize kundi la kulisha sumu wakikosea wakamtumia Zitto (siasa duodenum) unadhani atakaa na hiyo Siri njaa ikiuma?