Mafuriko makubwa yaikumba Dar es Salaam

Mafuriko makubwa yaikumba Dar es Salaam

Mafuriko Dar yanachangiwa na uzembe uliopitiliza wa watendaji na serikali + ujinga wa watu wenyewe wanaoongozwa.

Viwanja vya wazi pamoja na njia za mikondo ya maji watu wamejenga na kuziba njia za maji.
Viongozi wa serikali nao wako bize kula rushwa ili hayo mambo yaendelee.\
Wananchi nao vichwa ngumu, kuhama bondeni hawataki, wanatoa rushwa ili wajenge maeneo hatarishi na mikondo ya maji.
Pia uzembe mifereji ya kupitisha maji imeziba na hakuna anayehangaika, kila mtu anasema serikali.
Sasa tuone kati ya serikali na sisi vichwa ngumu nani ataumia
 
Wadau hii ilikuwa asubuhi, ila kwa jioni hata picha nimeshindwa kupiga maana maji yalikuwa kwenye paa tayari.
 
Si kipindupindu pekee Mkuu bali pia kuhara damu na malaria kwa ongezeko la Mbu na Dar ilivyo chafu!!

Halafu huduma mahospitalini ni duni,dawa zenyewe fake.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kinacho nishangaza tuko karibu na bahari tunaweza kuwa na miundo mbinu iliyo imara ya kupeleka maji baharini lakini tumekosa viongozi wenye upeo na uwezo wa elimu ya infrastructure
Pamoja na viongozi lakini tusifumbie macho ukweli kwamba wananchi nasi ni sehemu ya tatizo sugu! Hata ukiweka miundombinu bora namna gani ukiishi mabondeni miundombinu haitaweza kukusaidia! Tuwe wakweli; hivi hapa Dar es salaam wananchi wanatupa wapi matakataka kama sio kwenye mitaro iliyipo pembezoni mwa barabara? Wapenda kulalamika utasikia "yaani serikali inaacha tu wananchi wanatupa takataka kwenye mitaro...!" Khaaaa! Hivi kweli hili nalo hadi serikali iweke polisi kulinda mitaro ili tusitupe takataka?
 
Tofauti ya tz na wenzetu
1cb4170d18cab87641e5189a6528cf03.jpg
5aa932f67c3b69fd8a4aae0b08c8917b.jpg
 
Pamoja na viongozi lakini tusifumbie macho ukweli kwamba wananchi nasi ni sehemu ya tatizo sugu! Hata ukiweka miundombinu bora namna gani ukiishi mabondeni miundombinu haitaweza kukusaidia! Tuwe wakweli; hivi hapa Dar es salaam wananchi wanatupa wapi matakataka kama sio kwenye mitaro iliyipo pembezoni mwa barabara? Wapenda kulalamika utasikia "yaani serikali inaacha tu wananchi wanatupa takataka kwenye mitaro...!" Khaaaa! Hivi kweli hili nalo hadi serikali iweke polisi kulinda mitaro ili tusitupe takataka?
Kujenga katika mabonde na michirizi ya maji pia ni tatizo la serikali kushindwa kusimamia vizuri miundo mbinu, hawa wananchi masikini sana, serikali haina uwezo wa kuwapatia makazi bora basi ingeliweka utaratibu wa kutoa maeneo ya Makazi kwa wananchi kwa bure au kwa fedha ya chini, lakini kutokana na Rushwa hata maeneo wakitoa wanachukua wao viongozi na familia zao na baadae kuwauzia wananchi kwa mamilioni, hahe hohe kama wananchi hao wataweza wapi? Kuna kila sababu serikali kuutupia lawama.
 
jamaa anaenda kwenye interview ya kazi..lazima awe smart
 
Poleni wakaazi wa dar.hao watu wanaoishi jangwani miaka nenda rudi wameambiwa wahame hawasikii.ngoja waipate fresh ya shamba.
 
Back
Top Bottom