Mafuriko makubwa yaikumba Dar es Salaam

Mafuriko makubwa yaikumba Dar es Salaam

...

....Kuna umuhimu wa kuhama jiji kwa muda hii kitu hatari sana !!!
 
Hilo jengo hapo nlidhani ni kiwanda cha majani chai cha Green Label kumbe ndo huko kikombe kilienda wekwa jamani. Si mkitoe kikawekwe kulee karibu na kivukoni? Mzee hana shida, kama alisimama kupiga picha na lile la dunia hicho atakiweka pale getini
 
Hatari sana Dar inapata mafuriko wakati tunasikiaga bahari huwa haijai
 
Poleni bongo daslam kwa zilizara la mafuriko
 
Da Mimi nipo huku Lizaboni.jua kwa kwenda mbele poleni Dar
 
Watu wa dar es salaam muache usodoma mungu hapendi kwani hamuoni majanga
 
Dadangu DB, hicho cha miundombinu ni jambo la mwiiiiiiishooo kbs, serikali za ulimwengu wa tatu kukifikiria... !! Ona mushkel wa maji na umeme unavyotutesa.... iwe mitaro kipaumbele?!!

Ni kweli mkuu ni zaidi ya janga ukitoa jangwani mitaani nyumba zimejengwa hadi mahoteli makubwa lakini hamna mitaro ya maji, hata barabara unakuta zimekamilika lakini mvua ikinyesha maji yanasimama hadi kwa barabara mpya eti zilizojengwa na wahandisi! Mitaro mingi ipo upande mmoja.Kuondoa hii hali mipango miji na miundo mbinu iboreshwe.
 
Ni kweli mkuu ni zaidi ya janga ukitoa jangwani mitaani nyumba zimejengwa hadi mahoteli makubwa lakini hamna mitaro ya maji, hata barabara unakuta zimekamilika lakini mvua ikinyesha maji yanasimama hadi kwa barabara mpya eti zilizojengwa na wahandisi! Mitaro mingi ipo upande mmoja.Kuondoa hii hali mipango miji na miundo mbinu iboreshwe.
Sawa unayosema..... siye kwetu tunausemi huu " sikiyo la kufa halisikii..... au unaita kwa sauti pasipo na marejeo !!! pole kwa wote.....
 
Wanagoma tena!? Usanii wa hii Serikali sikivu wameustukia!? Hii nchi yetu inasikitisha sana labda ndio sababu wanataka kuupiga kalenda uchaguzi Mkuu kwani kwa haya madudu yao chungu nzima wanaona hata kuiba/kuchakachua chaguzi itakuwa kazi bure.

Na madereva watagoma mvua ikiisha. Huko hospitali mtaenda kwa miguu
 
Sasa hili nalo wanataka walaumiwe Wananchi! Jiji la Dar na matatizo ya mafuriko ni zaidi ya mika 20 sasa lakini kwenye bajeti miaka nenda miaka rudi hakuna fungu linalotengwa ili kupambana na kero hii kubwa ambayo imeshasababisha maafa makubwa na upotevu wa mali za mabilioni.

Ni kweli mkuu ni zaidi ya janga ukitoa jangwani mitaani nyumba zimejengwa hadi mahoteli makubwa lakini hamna mitaro ya maji, hata barabara unakuta zimekamilika lakini mvua ikinyesha maji yanasimama hadi kwa barabara mpya eti zilizojengwa na wahandisi! Mitaro mingi ipo upande mmoja.Kuondoa hii hali mipango miji na miundo mbinu iboreshwe.
 
Back
Top Bottom