Mafuriko makubwa yaikumba Dar es Salaam

Mafuriko makubwa yaikumba Dar es Salaam

Hayo maji ni machafu..basi yatasababisha kichocho na cholera...... Jamii jamani tuchukuwe uangalifu!!
Zamiluni Zamiluni; Usiogope Mkuu wa kaya yuko UN akija na kama picha zimemfikia huko safari hii atarudi na msaada mkuubwa sana wa madawa hayo. Haswa hii picha ya huyu mdada alivyokaa kima poooz
 
Bila flyover kutoka Migo to K'koo, Mbezi Luis kwenda mjini kupitia Ubungo na Segerea, maji siku zote yatajaa kulingana bahari inavyojaa.
 
Pamoja na uzembe wa viongozi, lakini mji wa Dar kupata tiba hii ya mafuriko itakuwa ngumu.
Sehemu nyingi za Dar hasa mbezi beach ni sehemu ilikuwa sehemu wanalima mpunga na sehemu ya mito. Hiyo hali ni ngumu kuiona maana eti wakazi wa DAR wanafikiri wanaweza hamisha mto, wakati mto hua hausahau njia.

Siku moja nilikuwa pale Mbezi samaki, kamvua kadogo kakanyesha maji yaliyoporomoka kutoka huko juu goba duu yani ni balaa tupu. Sifikiri hiyo miundo mbinu ya kuya contain hayo maporomoko kwa uhalisia wetu.

Uzembe hapa ni wa viongozi na wananchi kwa ujumla wao. Wananchi kama hawaheshimu taratibu walio wazembe na hawaheshimu uhalisia, je utapata wapi viongozi wasio wazembe ?
 
Afadhali angevua viatu na soksi na akunje suruali, akianguka hapo hicho kiuno ndio atakitengua kabisa, na umaridadi wote utaisha.
 
Si kipindupindu pekee Mkuu bali pia kuhara damu na malaria kwa ongezeko la Mbu na Dar ilivyo chafu!!

Na madereva watagoma mvua ikiisha. Huko hospitali mtaenda kwa miguu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
​Tunacheka kama mazuri, lakini hii picha ya polisiccm mgongoni kwa raia imenichekesha sana dah!

Mimi imenichekesha sana pia kunihuzunisha na kuona ni ain a gani ya polisi tulio nao hata ikitokea ugaidi atakua wa kwanza kukimbia.
 
Dar is still under flood threats
 

Attachments

  • 1431025561994.jpg
    1431025561994.jpg
    20.3 KB · Views: 631
  • 1431025581198.jpg
    1431025581198.jpg
    40.6 KB · Views: 573
  • 1431025602822.jpg
    1431025602822.jpg
    42 KB · Views: 583
  • 1431025623955.jpg
    1431025623955.jpg
    33.8 KB · Views: 571
  • 1431025645935.jpg
    1431025645935.jpg
    27.4 KB · Views: 565
  • 1431025677078.jpg
    1431025677078.jpg
    36.9 KB · Views: 583
  • 1431025710384.jpg
    1431025710384.jpg
    15.8 KB · Views: 575
  • 1431025727912.jpg
    1431025727912.jpg
    65.2 KB · Views: 558
  • 1431025778492.jpg
    1431025778492.jpg
    51 KB · Views: 619
Huwa najiulizaga Ikulu huwa kuna nini mbona hukupatwi na mikasa kama hiyo?!
Sio yetu tu hata za wenzetu mfano kule Haiti walati ule wa tetemeko na ile kitu ha tsunami na kadha wa kadha!
Je ni location zao ni zakipekee au pana namna ya ziada katika hayo makazi!
 
Mbona maeneo pendwa kama Masaki, Mbezi 'mbichi' mikocheni na kwingineko kwa wanene sioni picha za mafuriko?:confused2:
 
Back
Top Bottom