Mafuriko makubwa yaikumba Dar es Salaam

Mafuriko makubwa yaikumba Dar es Salaam

Yah' panatia mashaka ikinyesha mvua miundombinu bora imekosekana kwenye miji mingi ya nchi hii
 
Kama wewe ni mmoja wa watunga sera kinachotakiwa ni ku-create Kariakoo nyingine huko nje ya mji. Lkn watunga sera wetu wanajiangalia wao wanatoka wapi/ wanakaa wapi basi kwingine wanasahau kabisa na ndo maana watu wanawafuata huko huko wakisema tutabana hapa hapa. Kulikuwa na mradi wa "satelite cities" Luguruni-Kibamba, Goba, Bunju lakn nafikiri umekufa kwani hakuna kinachoendelea. Pia kuna corridor wajua "Mtwara Corridor ilikuwa kipindi cha nani weye?, Je wajua Bagamoyo corridor ilikuwa kipindi gani?, unakumbuka maendeleo ya Mwanga (umeme, barabara za lami n.k) ilikuwa kipindi cha nani weye? Je Katavi everything Chuo kikuu, Mkoa, barabara za lami? Tafakari. hatuna sera ya kitaifa yaliyopo ni maigizo tu!

Kwa akili yako ikija serikali ya chama gani inaweza kuifanya hiyo hadithi iliyotungwa na ccm kuwa kweli???????? Nakeeleza hakuna chama kitakachoweza kufanya hayo hata chembe, watendaji ni hawa hawa wanaoona haya lakini anajua fika ashajijenga anakaa ubungo alafu ahamishe mji uhamie kibamba ili iweje??????? Ni mara ngapi serikali imejaribu kuhamisha vituo tu vya daladal kwa usalama wenu lakini povu liliwatoka kuilaumu.

Zilizobaki ni kelele tu lakini hakuna jipya hata kije chama gani hakuna jipya, wananchi wenyewe wajiongeze wahame yaishe vinginevyo mtaishia kupiga kelele tu.
 
IMG_20150506_164332.jpg
 
Hahahhahah Mpwa una visa wewe, you mean kitumbua kimeingia maji/mchanga? Huyu Camera man yeye alikua kwenye ndege au alikua anaelea?

Ni wazi hujasoma geography mpwa...😕
 
nimepita hapo naona wanapigana mapicha tu.
 
nimejaribu tu kuweka memory card kichwani
Mpwa unakumbuka mwaka jana kwenye mvua hizi kulikua na Bidada mmoja alibebwa halafu akaangushwa kwenye dimbwi la maji? Hivi zile picha bado unazo? Maana picha zako full utata
 
kama ulikuwa mjinga utakuwa umejifunza maana baadhi ya wanajf wamekufundisha hapa,kama mpuuzi endeleza upuuzi wako

Siishi kwa ushabiki wa vyama bali naiishi hali halisi, nisemacho ni msimamo wangu hakuna wakunijaza ujinga.

Wanajaribu kuzuia mafuriko kwa mikono, miundombinu yote ya maji wamefunga kwa kujenga nyumba...sewerage system yenyewe mbovu,...wacha tuenjoy zetu sie tulio nje ya mji...wao waendelee kukwepa foleni...cha moto wanakiona...

Ujinga tu, wanakwepa foleni huku wanarisk maisha yao, wanaishi na mabwawa hadi ndani malaria, maji yenyewe yamenganyikana na kinyesi ptuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!, wacha wasubiri muujiza wa vyama.
 
Nasikitika kusema kuwa tuna vyombo lukuki vya habari hapa Dar. ila hakuna hata kimoja nimekisikia kikiongelea kufungwa kwa barabara Morogoro eneo la jangwani kufuatia kujaa maji hata kupita juu ya daraja.Hali hii ilijitokeza toka jana saa 4 usiku. Nilikuwa pale. Nilipiga simu msaada polisi kuomba msaada ili watuvute foleni ile. Askari aliyepokea simu yangu alikuwa na masikitiko kwani alisema uwezo huo haupo.

Oke, tuliendelea kujivuta hivyo hadi nikafika fire saa 5 usiku. Tofauti na Magomeni, askari aliyekuwa pale akipigwa mvua alikuwa ni mkuu wa matrafiki, nadhani hapo magomeni. Nahisi hivyo kwa mavazi aliyokuwa amevaa, si yale meupe. Hata namna ya kuongoza alionekana ki bosi zaidi. HAPO fire tulikuwa tunaongozwa na RAIA!

Lakini jambo kubwa kama hili waandishi wetu hawapo kuwapa watu habari. Sijui wanasubiri CCN wakopi na kutulisha? Kwa nini walale badala ya kutafuta habari na kuwalisha wana jamii
 
Back
Top Bottom