Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,119
Dar, Zanzibar, Mombasa zitamezwa na maji hivi karibuni!!
ccm hawaleti mafuriko,sema wewe mwenyewe kutaka kuka mjini unaamua kujenga bondeni harafu unataka serikali ikuondole mafuriko hapo utasubili sana..
Hapo hakuna chadema,cuf,act,nccr wala ccm atakaye weza kuzuia wala kusaidia mafiliko yasifike kwa wanaoishi mabondeni..
Australia juzi tuu hapa wamepatwa na mafuliko na watu wamekufa kwenye miundombinu ya ukweli itakuwa bongo.
Mobasa
Hahahhahah Mpwa una visa wewe, you mean kitumbua kimeingia maji/mchanga? Huyu Camera man yeye alikua kwenye ndege au alikua anaelea?View attachment 249798
lol, vyote vimeloa hapo
nimejaribu tu kuweka memory card kichwaniHahahhahah Mpwa una visa wewe, you mean kitumbua kimeingia maji/mchanga? Huyu Camera man yeye alikua kwenye ndege au alikua anaelea?
Laiti ungefikiria kidogo tu ungejua serikali yako inahusika vipi na mipango miji. Lazima kuwe na master plan ya mji, lazima kabla hujaamza kujenga uwe na ramani na approval ya wizara, lazima kabla ya kujenga eneo lako lipimwe na kuonekana linafaa na kukidhi ujenzi, lazima wizara ijidhihirishe kuwa drainage system pale unapokenga inakubaliana na system ya mji, lazima sewage system ya nyumba yako iendane na sewage system ya jiji.
Unaposema sisiem isilaimiwe sijui unaangalia vigezo gani.
umesahau migomo kwa usafiri na leo masokoniDu! Dar hakuna jema. mvua ikinyesha ni mafuriko. Jua likiwaka ni joto hapo bado foleni na shida ya maji. Lakini mijitu ukiiambia ije mikoani haitaki. Mbana mikoani maisha mazuri tu waungwana?
nikimwangalia huyu dada hajakaa kimaafa japo yuko kwenye maafaPoleni kwamaafa na masaibu......
Ooooookeeeey ... hiki kiswahili hiki .... ama kweli waswahili walisema "Hakika kiswahili ni lugha adhimu!" - wengine wanasema read between lines!anamaanisha vyombo vya chakula...vile vituwezeshavyo kula
Acheni kulalamikia kila kitu, wakiondolewa ni nyie wananchi mnasema wameonewa, serikali ya ccm ni waonevu sana, wanatumia mabavu, wakiambiwa waondoke kwa hiyari hawataki, sasa ccm ifanyeje???? wacha cha moto kiwapate ndio akili ziwakae sawa.
Upo sahihi Apologise lady, tunaoishi maeneo ya Kimara, Mbezi, Pugu na kwingine nje ya mji huwezi kusikia tunaathirika na mafuriko...masista dudu na mabishoo wa mjini ndio wanalia na kusaga meno😀
Hayo maji ni machafu..basi yatasababisha kichocho na cholera...... Jamii jamani tuchukuwe uangalifu!!nikimwangalia huyu dada hajakaa kimaafa japo yuko kwenye maafa
Wasitusumbue bure, watu wa nje ya mji mafuriko ni historia kwao, nyumba hakuna kubanana, kiwanja mtu unapata angalau unapumua na hewa safi unavuta, watu wanang'ang'ania kugawiana viwanja vya upenuni hata sehemu yakukanya anakosa bado anataka kupiga kelele serikali serikali, wakatafute viwanja masaki basi ili wapone mafuriko.