unanitaka
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 2,178
- 1,047
Siku zote serikali inapiga vita ujebzi wa mabondeni na katika njia za maji, tatizo watu ni wabishi na wajuaji sana. Leo wewe unasema serikali haijishughulishi vya kutosha katika kuhakikisha ujenzi haufanyiki mabondeni, lakini ikitangaza kuwa inaanza kubomoa nyumba zote zilizojengwa mabondeni, mtabadilika tena na kuanza kuhoji hatua inazochukua dhidi ya ujenzi huo wa holela.
Hujanielewa, kijana, ninachosema ni.kuwa kwa nini usubir kuja kubomoa wakat ulikuwa na uwezo wa kuzuia watu wasijenge? Tahadhar kabla ya hatar