Mafuriko makubwa yaikumba Dar es Salaam

Mafuriko makubwa yaikumba Dar es Salaam

Hata sikumbuki niliemqoutee ngoja niangalieko tenaa hhhhaaaa
Nimemuelewaa anamaanisha watu wanaojenga mabondeni ,sasa je ndio nikasema mbona hata katikati ya mji hua maji yanakuja yanajaa napo ni mabondeni ndio maana yangu mie

hahaaaaa mie hapa sijui narudije.... msukuma hayuko Dar aje kunichukua
 
Uzuri wa bongo mpaka IKULU kumejaa maji. Hehehe, anko sijui anapandishaga suruali akipita?
 
Mtu mmoja amefariki Dunia baada ya kusombwa na Maji kutokana na mafuriko yaliyotokana na Mvua zinazoendelea Kunyesha Dar es salaam.

 
Last edited by a moderator:
[Source ni twitter @JamiiForums]


CEZLX1eW8AAKOsj.jpg:large


Huku ndio Kudhalilisha Sare za Jeshi huku, askari gani anabebwa mgongoni hivyo​



Askari kalegeza makalio, kweli hii hasara...
 
Haya mafuriko yamesababishwa na UKAWA hizi ndio propaganda zinazoandaliwa na wakina nape wakati wa ziara zao jijini DSM
 
Duh hatari sana,nimepita kuanzia Bamaga mpaka mapambano yaani kumechafukwa mbaya.
 
Umeona eeh! Drainage system ya mwaka 47 kwa population ya 250,000 leo Jiji lina watu milioni 5 bado drainage system ile ile halafu wanataka kulaumu wananchi. Huko kwenye maghorofa mbona hawawaambii watu wahame maana nako mafuriko mtindo mmoja.

Ndio nami nimeuliza hivyo huyo anesema serikali sio ya kulaumiwa atuambie hayo maghorofa katikati ya mji basi na hao wahamishwee
 
Back
Top Bottom