Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,752
Na kati kati ya mji kunakokuwa na mafuriko yale maghorofa yalijengwa kiholela na Wananchi? Acheni kutetea hoja uzembe na ukosefu wa sera? Kule msasani kwenye mafuriko mbona zile nyumba zimejengwa kwa kibali cha Serikali na bado kuna mafuriko? Ni aje?
Una macho makali sana, hio ni kanda ya nyimbo za watu wa kusini.Bahati yenu, ila nilivyo muoga ningekua ndio mimi niko kwenye hilo gari wakati wa hizo heka heka sijui ingekuwaje?
BTW....hiyo hapo juu ya dashboard ni kanda au? Mmetisha sana wakuu.
Huku kkoo hali ni shwari wale wa mabondeni hali ndo tete
Wanapopiga stop magorofa, wanashindwaje kupiga stop hizo nyumba...??
Haya ile ghorofa opposite na ocean road hospital, vibali alitoa nani..??? Mbona hao hao watoa vibali ndo walitaka jengo lipunguzwe wakati lishamalizwa kujenga na linatumika..??
Haya lile ghorofa lililopo kati Seaclif na golden Tulip hotel hapa Dar lililoshikiwa bango na akina Rita Mlaki kuwa libomolewe liliishia wapi..? Mbona linatumika sasa...??? Kuiondoa serikali kwenye hili ni kazi sana...
CC
BAK
Sehemu sinza napo ni balaa,tandale kwa tumbo napo hakufai
Huyu ndio anajua maana ya maisha.
Mbona hadi posta hua mfuriko yanafika kwa hiyo napo wahame
umemuelewa huyo uliemquote we dina
Nilikwisha mtahadharisheniTunafunga ofisi tuondoke, hali ni tete sana sana
[Source ni twitter @JamiiForums]
![]()
Huku ndio Kudhalilisha Sare za Jeshi huku, askari gani anabebwa mgongoni hivyo
Mimi nilikwisha mtahadharisheniKufuatia hali kuzidi kuwa tete; Suleiman Kova kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar es Salaam amewataka wananchi wa mkoa huo kurejea majumbani kwao mapema iwezekanavyo! Barabara nyingi hazipitiki huku mvua kubwa ikiendelea kunyesha!
husband mbona waongea sana fanya uwahi urudi usisngizie mafuriko