Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 664
- 1,272
Kavimbewa asubuhi hii,sijui amekula maharagwe ya wapi?Naona viazi na maharage uliyokula vinasumbua tumbo, katoe ushuzi nje kwanza urudi uandike vya maana
Msaliti wa nchi lazima auawe. There is no excuse! Na atakuwa kweli sio masihara.Kwa sasa kwenye kile chama cha kijani. Hoja ya kuua mtu imekuwa ni hoja nyepesi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Not relevant
Ulimola ? habari za Geita mkuuHakuna hata mmoja ambae alipewa hongo. Wamekiri kuwa JPM anafanya kazi.Miradi mikubwa ndani ya miaka minne, Sgr, JNHHP daraja la wami,busisi n.k
Huko wanako toka pamejaa utapeli na umimi na si wapinzani bali ni wapingaji. Kisingizio cha uongo ni kununuliwa.
Wananchi wameshachoka utapeli na wanaona kwa macho nini JPM anafanya..
Ahaaa!Ulimola ? habari za Geita mkuu
chizi karogwa tenaHakuna hata mmoja ambae alipewa hongo. Wamekiri kuwa JPM anafanya kazi.Miradi mikubwa ndani ya miaka minne, Sgr, JNHHP daraja la wami,busisi n.k
Huko wanako toka pamejaa utapeli na umimi na si wapinzani bali ni wapingaji. Kisingizio cha uongo ni kununuliwa.
Wananchi wameshachoka utapeli na wanaona kwa macho nini JPM anafanya..
Msaliti wa nchi lazima auawe. There is no excuse! Na atakuwa kweli sio masihara.
Kama wasipo uawa wao ina maana sisi ndiyo tufe kwa ajili ya tamaa zao za madaraka?
Sent using Jamii Forums mobile app