Barabara sita dar moro na kazi imeanza
 
Ama kweli Tanzania under Magufuli,dunia lazima itambue kuwa kuna nchi inaitwa Tanzania, keep it up Mzee
 
Umesahau uhalibifu za fedha za wananchi uwanja wa ndege chato. Ndege za msaada gani kwa maisha haya mafanikio ya kutubuluza
 
Anatakiwa kujitaidi na kukaza nyorooo maana tz inapotea na watu hawana mafanikio kama walivyo tarajia anatakiwa apambanee maana tushaa kutumia akili kumemshindaaa sasa ni mabavuu tu...

Kuua watu na kuwapiga risasii akili ndogo haiwez kutawala akili kubwaa za watu katika nchii ....ccm oyeeee
 

President Magufuli Call Africa to Unite, "Africa We Are Rich", Great Speech for African Leaders

President John Pombe Magufuli asking african Leaders to bring developments to their people by being committed and fighting against corruption.
 
JPM ni mashine ya kazi, tingatinga, anajenga tanzania mpya, dawa ya kuponesha jipu, ni kulitumbua tu, maumivu na kupata infection inawezekana, tulizoea wepesi.

Rais abane ili baadae tuwe donor country
 
JPM ni mashine ya kazi, tingatinga, anajenga tanzania mpya, dawa ya kuponesha jipu, ni kulitumbua tu, maumivu na kupata infection inawezekana, tulizoea wepesi.

Rais abane ili baadae tuwe donor country
Kwa indicator ipi kila kitu kimekufa
 
Lini atajili waalimu wa Arts na course nyingine
 
Hayo yote yananisaidia nn mm kama, mwanafunz wa chuo huku mkoani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…