popote ulpo agza chakula ntakuja kulpa umeongea fact saaaaan✌️✌️✌️
 
Mkuu nilichosikia mitaani ni kwamba wakulima, wafanyakazi, wafanyabiashara, graduates na wanavyuo, October 28, 2020, eti WANA JAMBO LAO.

Hapa napeleleza jambo lipi?

Everyday is Saturday...............................
Baada ya uchaguzi,huu msemo wenu utakuwa hivi " 2025 TUNA JAMBO LETU" 😂😂😂😂
 
CCM inatumia nguvu kubwa kupata ushindi kwa kujiharibia yenyewe, sehemu waliposhinda upinzani ndo vijana, wamama, bodaboda, wababa wananufaika kwa mikopo, hongo na maendeleo mfano Arusha, Mbeya, Moshi, Iringa nenda Mwanza walipomchagua Wenje na sasa vijana wanalia wamesaulika sasa hapo utamshawishije mtu achague CCM akose maendeleo Kama kijijini hata Sasa hivi kawe watu wanakula kwa Ngwajima kwasababu ya upinzani na kwenye ngome ya upinzani hela nje nje.
 
Ni kweli ukiwa ccm mambo safi
 
Fake ID nyingi za MATAGA mmeshalipwa posho zenu? Maana tunasikia mmelalama ukata!!

Hayo mambo yako ya kijinga andikiaa Meko huko sis sio wajinga mbuzi wewe
 
Kwa uandishi wako tu wa hili neno urahia badala uraia inaonyesha wazi kuwa hata hujui kinachoendelea nchini ila tu unafata upepo kama bendera

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
CCM inaamini kwamba uzalendo kwa nchi ndio msingi wa maendeleo ya
kweli ya Tanzania ambayo yataletwa na Watanzania wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…