Mafanikio Sio Pesa, Ni Nishati Unayotoa

Mafanikio Sio Pesa, Ni Nishati Unayotoa

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
11,451
Reaction score
22,748
Katika kitu najifunza siku za hivi karibuni ni kuwa mafanikio hayaji by chance.

Kuna namna Mungu amemcraft kila kiumbe kutokana na uwezo wake, but we humans have a free will.

Na huu ndo mtego, the will to think we can manipulate reality, vijana wengi wanahisi mafanikio ni kuwa na hela bank. Eti ya kuwa kufikia level za kina MO dewij, kina diamond, ni just pesa wanazomiliki.

Money isn't success, success is who they are. Ni vile walivyo ndo inafanya hela ije. Most people feel worthless despite the money they have, why? Because wanajua akiacha kufanya anacho kifanya he's nothing.

Ya kuwa success kwake iko accustomed to him or her showing up.

But ukweli ni kuwa, true success is an energy form... Hata hela sio physical. Hela ni energy..

What kind of energy are you giving off to the world? Imekaa ki wooo wooo sana hii ila ndo ukweli mchungu. If you're vibrating at a lower frequency jua wewe ni utabaki kuwa maskini daima.

The real ones, huwa hela inawafuata, makampuni yao anapata customers, watu wanafata energy sio product.

Ndo maana huwa kuna kitu kinaitwa brand, brand ni chapa yenye energy.. Kwa mfano apple, Nike, addidas hapo tena sio mtu physical ambae anahusika bali ni energy inayotoka kutoka kwenye creation na chimbuko la hiyo brand.

Nataka kusemaje?

Usiyakimbikie mafanikio kama mjinga usiye na mbele wala nyuma..

Unatakiwa uwe na maono..

Ndo maana mimi. de Gunner tayari nimesha weka na kujisemea maono kuwa kufikia mwaka 2040 Nitakuwa moja ya watu maarufu duniani.

Sio kwasababu haiwezekani bali ni kwa sababu tayari najua fika kuwa energy haizaliwi mafichoni, unazaliwa kweupe, kwa njia ya vibration, kwa kutamka wazi bila hofu, bila kucare watu wanasemaje, na kujua kila mtu ana equal chance ya kuwa kile anataka.

Ndo maana tunaona sasa, watu wana resign wengine wa najaribu kung'ang'ania madaraka just to keep on feeling accomplished but that is a zero sum game. The real ones huwa hawajioneshi wala kutaka approval.. They simply be who they truly are.
 
Biblia imeandikwa, tafuteni ufalme wa mbinguni hayo mengine mtazidishiwa
Selemani alitafuta hekima mengine ni ziada

N.B. Ufalme wa mbinguni ninaouzungumzia hapa sio ule mnaofundishwa na wachungaji wenu mtaenda baada ya kufa.
Yes,
It's the inner riches that really matter.
Wengi hupuuzia vitu hivi but ndo funguo muhimu na wa msingi katika hii dunia.
 
Jitihada na juhudi hazizidi kudra ya Mwenye Enzi Mungu
Hakika,
Lakini kudra haziji kwa yule afanye juhudi pasipo kusudi aliloumbiwa. Au haiishi maono yake. Kuishi kusudi na kuweka maono kipaumbele ndo Kundra yenyewe.

Shukran kwa kuongezea hilo mkuu
 
Mungu anapokupa na anafungua ufahamu wako, inakua a complete package
Kwahiyo unataka kusema kuna muda wa kupewa? Au mtu anakuwa kashapewa ni yeye kulifahamu hilo na kulifanyia kazi?

Je unaamini kwenye dhana ya wakati wa Mungu ni wakati sahihi.? Binafsi nadhani ni vyote jitihada na wakati sahihi. Yani kile unacho kifanya ndo njia ya kufikia hiyo package.
 
Katika kitu najifunza siku za hivi karibuni ni kuwa mafanikio hayaji by chance.

Kuna namna Mungu amemcraft kila kiumbe kutokana na uwezo wake, but we humans have a free will.

Na huu ndo mtego, the will to think we can manipulate reality, vijana wengi wanahisi mafanikio ni kuwa na hela bank. Eti ya kuwa kufikia level za kina MO dewij, kina diamond, ni just pesa wanazomiliki.

Money isn't success, success is who they are. Ni vile walivyo ndo inafanya hela ije. Most people feel worthless despite the money they have, why? Because wanajua akiacha kufanya anacho kifanya he's nothing.

Ya kuwa success kwake iko accustomed to him or her showing up.

But ukweli ni kuwa, true success is an energy form... Hata hela sio physical. Hela ni energy..

What kind of energy are you giving off to the world? Imekaa ki wooo wooo sana hii ila ndo ukweli mchungu. If you're vibrating at a lower frequency jua wewe ni utabaki kuwa maskini daima.

The real ones, huwa hela inawafuata, makampuni yao anapata customers, watu wanafata energy sio product.

Ndo maana huwa kuna kitu kinaitwa brand, brand ni chapa yenye energy.. Kwa mfano apple, Nike, addidas hapo tena sio mtu physical ambae anahusika bali ni energy inayotoka kutoka kwenye creation na chimbuko la hiyo brand.

Nataka kusemaje?

Usiyakimbikie mafanikio kama mjinga usiye na mbele wala nyuma..

Unatakiwa uwe na maono..

Ndo maana mimi. de Gunner tayari nimesha weka na kujisemea maono kuwa kufikia mwaka 2040 Nitakuwa moja ya watu maarufu duniani.

Sio kwasababu haiwezekani bali ni kwa sababu tayari najua fika kuwa energy haizaliwi mafichoni, unazaliwa kweupe, kwa njia ya vibration, kwa kutamka wazi bila hofu, bila kucare watu wanasemaje, na kujua kila mtu ana equal chance ya kuwa kile anataka.

Ndo maana tunaona sasa, watu wana resign wengine wa najaribu kung'ang'ania madaraka just to keep on feeling accomplished but that is a zero sum game. The real ones huwa hawajioneshi wala kutaka approval.. They simply be who they truly are.
Mkuu ukitaka kuprove hichi unachosema kivunje vunje kwenye matukio ambayo yamewahi kukupata.

Rudi nyuma angalia events ambazo zilikuwa very successful halafu jaribu kuaccess siku kadhaa nyuma, au wiki kadhaa au masaa au siku husika.

Inawezekana ukaona kwamba prior to successful events ulikuwa unastand Tall kwa kujiamini hata bila kujua kuwa umestand Tall.

We jaribu tu kuangalia, Successful interviews, tenders, conversation n.k utagundua masaa kadhaa kabla, wiki kadhaa kabla au wakati wa tukio husika ulikuwa unajiamini.

Now it seems, standing tall generates positive energy unayosema, halafu everything inaflow na hiyo energy then you succeeds with flying colors.
 
Katika kitu najifunza siku za hivi karibuni ni kuwa mafanikio hayaji by chance.

Kuna namna Mungu amemcraft kila kiumbe kutokana na uwezo wake, but we humans have a free will.

Na huu ndo mtego, the will to think we can manipulate reality, vijana wengi wanahisi mafanikio ni kuwa na hela bank. Eti ya kuwa kufikia level za kina MO dewij, kina diamond, ni just pesa wanazomiliki.

Money isn't success, success is who they are. Ni vile walivyo ndo inafanya hela ije. Most people feel worthless despite the money they have, why? Because wanajua akiacha kufanya anacho kifanya he's nothing.

Ya kuwa success kwake iko accustomed to him or her showing up.

But ukweli ni kuwa, true success is an energy form... Hata hela sio physical. Hela ni energy..

What kind of energy are you giving off to the world? Imekaa ki wooo wooo sana hii ila ndo ukweli mchungu. If you're vibrating at a lower frequency jua wewe ni utabaki kuwa maskini daima.

The real ones, huwa hela inawafuata, makampuni yao anapata customers, watu wanafata energy sio product.

Ndo maana huwa kuna kitu kinaitwa brand, brand ni chapa yenye energy.. Kwa mfano apple, Nike, addidas hapo tena sio mtu physical ambae anahusika bali ni energy inayotoka kutoka kwenye creation na chimbuko la hiyo brand.

Nataka kusemaje?

Usiyakimbikie mafanikio kama mjinga usiye na mbele wala nyuma..

Unatakiwa uwe na maono..

Ndo maana mimi. de Gunner tayari nimesha weka na kujisemea maono kuwa kufikia mwaka 2040 Nitakuwa moja ya watu maarufu duniani.

Sio kwasababu haiwezekani bali ni kwa sababu tayari najua fika kuwa energy haizaliwi mafichoni, unazaliwa kweupe, kwa njia ya vibration, kwa kutamka wazi bila hofu, bila kucare watu wanasemaje, na kujua kila mtu ana equal chance ya kuwa kile anataka.

Ndo maana tunaona sasa, watu wana resign wengine wa najaribu kung'ang'ania madaraka just to keep on feeling accomplished but that is a zero sum game. The real ones huwa hawajioneshi wala kutaka approval.. They simply be who they truly are.
That's my boy de Gunner
 
Mkuu ukitaka kuprove hichi unachosema kivunje vunje kwenye matukio ambayo yamewahi kukupata.

Rudi nyuma angalia events ambazo zilikuwa very successful halafu jaribu kuaccess siku kadhaa nyuma, au wiki kadhaa au masaa au siku husika.

Inawezekana ukaona kwamba prior to successful events ulikuwa unastand Tall kwa kujiamini hata bila kujua kuwa umestand Tall.

We jaribu tu kuangalia, Successful interviews, tenders, conversation n.k utagundua masaa kadhaa kabla, wiki kadhaa kabla au wakati wa tukio husika ulikuwa unajiamini.

Now it seems, standing tall generates positive energy unayosema, halafu everything inaflow na hiyo energy then you succeeds with flying colors.
Hakika mkuu just recently hata mimi kupitia hii hii scenario uliyoisema hapo awali ndo nimekuja kuona how powerful everything starts..

The law of inertia is so real... Lazima kitu kianze kuvibrate kwanza kabla ya ku shine..

How unaanza na identity kwanza ndo kina fuata matokeo, ila on a spiritual standpoint energy ndo msingi mama wa kila kitu.

Energy(ndo kujiamini huko) ila sio kwa kutumia ego na pride bali ile hali ya total embodiment isiyo tetereka.

Na mimi de Gunner najisemea kuwa mimi nakuja kuwa mtu maarufu sio kujikweza bali actual fact iliyopo ndani yangu.
 
Let's keep tappin in brother

Hakuna kugeuka nyuma, we going higher both mentally and energetically.
Kila kitu kinaanza na mawazo ambayo ni sehemu ya energy, ndio maana siku zote tunatakiwa tunene vizur kuhusu sisi wenyewe, ukikata tamaa mawazoni hata kwenye vitendo utafeli

Ila ukiongea positive about youself obviously you will reach where you want to be,so it's a matter of attitude towards yourself that matters
 
Kila kitu kinaanza na mawazo ambayo ni sehemu ya energy, ndio maana siku zote tunatakiwa tunene vizur kuhusu sisi wenyewe, ukikata tamaa mawazoni hata kwenye vitendo utafeli

Ila ukiongea positive about youself obviously you will reach where you want to be,so it's a matter of attitude towards yourself that matters
Exactly preparation meets success

And where attention goes energy flows, sasa wengi tunakimbilia the wrong demaging energy bila kujua inakuja ku affect our future self
 
Exactly preparation meets success

And where attention goes energy flows, sasa wengi tunakimbilia the wrong demaging energy bila kujua inakuja ku affect our future self
Ni sahihi kabisa ndio maana ni muhimu sana kuwa na personal mantra ambazo utajisemea kila siku, zinasaidia sana kukuweka positive daily like:

Navuta mawazo mazuri kwangu,nitafanikiwa na kufika pale ninapotaka

it's sounds crazy but for those who knows the power of mantra,they keep doing this daily

Hakuna kufeli
 
Ni sahihi kabisa ndio maana ni muhimu sana kuwa na personal mantra ambazo utajisemea kila siku, zinasaidia sana kukuweka positive daily like:

Navuta mawazo mazuri kwangu,nitafanikiwa na kufika pale ninapotaka

ii's sounds crazy but for those who knows the power of mantra,they keep doing this daily

Hakuna kufeli
Hakika mkuu

Kuna clip moja ya David Gogins(navy seal) huwa napenda kusikiliza asubuhi kila nipatapo nafasi... Inanisaidia sana ku affirm kile nataka.

Again cha kuongezea lazima kuwe na loop ya affirmation na action pia

Maana usipo fanya action huendi popote.
 
Back
Top Bottom