Kifo Ni Udanganyifu? Nishati

Kifo Ni Udanganyifu? Nishati

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
10,606
Reaction score
21,133
Post hii imebase kwenye science na sio kwa ajili ya kudhihaki kifo.. So naomba sana mzingatie hili.

As we all know everything is energy. That tukiivunja matter tu nakutana na simplest particles ambazo Zina beba charge...

So since kila kitu in this physical universe is made up of particles, then hata sisi binadamu, Wanyama na viumbe vyote are indifferent to non living things

Nina maana gani,
Ya kuwa from newton's first law of energy conservation, "energy can neither be created nor destroyed" hence binadamu akifa ni ya kuwa hapotei ila nishati inabadili mfumo tu,

Kwa mantiki hiyo mtu akifariki wengi wasio na ujuzi huu huhisi kuwa amefutika noo, it's time for that energy system to shift its avatar.... Nafsi(nishati) inatoka kwenda ku occupy another body..l

Sasa je kuna haja gani ya watu kulipia mfu, wakati ni rhythm ya any energy system ya kuwa lazima azaliwe na afe.

So kumbe, kifo ni illusion... Hatufi bali tunafunga energy system ambayo haipotei.

Kwa dhana hii basi wewe haufi bali upo na ulikuwepo na utaendelea kuwepo.
 
We don't really die tukapotea. Ni tunabadilika matumizi tu. Thing is, as far as I know, tunakuwa rutuba ya ardhi na mambo mengine. Ecosystem tu.

Ila hapohapo nina swali la kichokozi. Kwanini binadamu ameamua kujipa umuhimu sana kuliko viumbe wengine? As if hakuna viumbe hai wengine? Mbona hatuhoji tembo akifa anaenda wapi? Au ng'ombe? Maybe we are not as important as we think.!
 
We don't really die tukapotea. Ni tunabadilika matumizi tu. Thing is, as far as I know, tunakuwa rutuba ya ardhi na mambo mengine. Ecosystem tu.

Ila hapohapo nina swali la kichokozi. Kwanini binadamu ameamua kujipa umuhimu sana kuliko viumbe wengine? As if hakuna viumbe hai wengine? Mbona hatuhoji tembo akifa anaenda wapi? Au ng'ombe? Maybe we are not as important as we think.!
That's prevalent hata kwa hao viumbe... They don't give a shit... Hata wao wanakula Wanyama wenzao...

Pia kwanini na sisi tuna kula mimea? Si nayo ni living things... Unafikiri nayo sio important..

Sisi ni Wanyama, biologically but ndani kabisa sisi ni energy na sisi hatupotei. Na hatuna umuhimu egotistically ila evuolutionally yes.
 
That's prevalent hata kwa hao viumbe... They don't give a shit... Hata wao wanakula Wanyama wenzao...

Pia kwanini na sisi tuna kula mimea? Si nayo ni living things... Unafikiri nayo sio important..

Sisi ni Wanyama, biologically but ndani kabisa sisi ni energy na sisi hatupotei. Na hatuna umuhimu egotistically ila evuolutionally yes.
Why do we think that this whole stage (life) was designed for us and we are the main characters. I mean kesho tukiamka hakuna binadamu hata mmoja, Dunia itaendelea kuwepo niamini. Ila kuna viumbe wakipotea basi dunia inaharibika. Nahisi Dunia haituhitaji kama tunavyoihitaji.

Kwa mtazamo wangu, sisi sio wa muhimu hivyo. Na inawezekana tukifa sawa tunabadilika in terms of energy ila sio necessarily tunabaki kuwa hai. Tukifa tumekufa. Hakuna cha ziada. Tunakuwa rutuba tu.
 
Post hii imebase kwenye science na sio kwa ajili ya kudhihaki kifo.. So naomba sana mzingatie hili.

As we all know everything is energy. That tukiivunja matter tu nakutana na simplest particles ambazo Zina beba charge...

So since kila kitu in this physical universe is made up of particles, then hata sisi binadamu, Wanyama na viumbe vyote are in different to non living things

Nina maana gani,
Ya kuwa from newton's first law of energy conservation, "energy can neither be created nor destroyed" hence binadamu akifa ni ya kuwa hapotei ila nishati inabadili mfumo tu,

Kwa mantiki hiyo mtu akifariki wengi wasio na ujuzi huu huhisi kuwa amefutika noo, it's time for that energy system to shift its avatar.... Nafsi(nishati) inatoka kwenda ku occupy another body..l

Sasa je kuna haja gani ya watu kulipia mfu, wakati ni rhythm ya any energy system ya kuwa lazima azaliwe na afe.

So kumbe, kifo ni illusion... Hatufi bali tunafunga energy system ambayo haipotei.

Kwa dhana hii basi wewe haufi bali upo na ulikuwepo na utaendelea kuwepo.
Wewe ni mwili plus series ya kumbukumbu ya ulichofanya, utakachofanya, ulichofanyiwa na wengine na utachofanyiwa na wengine. Hiyo kumbukumbu na mwili vikifutika ndo umeshakufa hivyo.
 
Why do we think that this whole stage (life) was designed for us and we are the main characters. I mean kesho tukiamka hakuna binadamu hata mmoja, Dunia itaendelea kuwepo niamini. Ila kuna viumbe wakipotea basi dunia inaharibika. Nahisi Dunia haituhitaji kama tunavyoihitaji.

Kwa mtazamo wangu, sisi sio wa muhimu hivyo. Na inawezekana tukifa sawa tunabadilika in terms of energy ila sio necessarily tunabaki kuwa hai. Tukifa tumekufa. Hakuna cha ziada. Tunakuwa rutuba tu.
I get your views but have you ever considered the source of consciousness..

What if that is the real you beyond the perishing mind and body?

I feel like what dies is the physical aspect but the spiritual essence remains
 
Wewe ni mwili plus series ya kumbukumbu ya ulichofanya, utakachofanya, ulichofanyiwa na wengine na utachofanyiwa na wengine. Hiyo kumbukumbu na mwili vikifutika ndo umeshakufa hivyo.
What about consciousness.. Achana na mind and body.
 
I get your views but have you ever considered the source of consciousness..

What if that is the real you beyond the perishing mind and body?

I feel like what dies is the physical aspect but the spiritual essence remains
Hapa sasa conspiracy theory zinachukua nafasi kubwa... Nitakujibu kama ifuatavyo:

Ukiniuliza mimi, consciousness ipo kwenye ubongo. Haitokei sehemu yeyote nyingine. Hakuna 'server' ya ufahamu somewhere in the sky.

To keep things short, wewe ni kamili kabisa. Sio receiver f'lani. Ubongo wako ukizimika basi na wewe umezimika. Nafsi sijui blah blah ni propaganda tu.
 
What about consciousness.. Achana na mind and body.
Unless ubongo ni receiver ya ufahamu na sio storage pekee, kwamba somewhere in this uniververse kuna kitu/kiungo/kifaa kinatunza ufahamu wako na ubongo wako ni recever tu basi kuna matumaini ya kuwa na ufahamu baada ya kifo, kinyume na hapo kisayansi ukifa ndo umekufa.
 
Hapa sasa conspiracy theory zinachukua nafasi kubwa... Nitakujibu kama ifuatavyo:

Ukiniuliza mimi, consciousness ipo kwenye ubongo. Haitokei sehemu yeyote nyingine. Hakuna 'server' ya ufahamu somewhere in the sky.

To keep things short, wewe ni kamili kabisa. Sio receiver f'lani. Ubongo wako ukizimika basi na wewe umezimika. Nafsi sijui blah blah ni propaganda tu.
That's a lie it's even up to this day never traced where life begins...

The body is itself a servant, yaani consciousness ambayo hata wewe hauna control nayo ipo... When a baby is born it's not aware of itself but only conscious..

What you call memory is not you.. Hiyo ni muunganiko wa psychological, biological and environmental conditioning
 
Unless ubongo ni receiver ya ufahamu na sio storage pekee, kwamba somewhere in this uniververse kuna kitu/kiungo/kifaa kinatunza ufahamu wako na ubongo wako ni recever tu basi kuna matumaini ya kuwa na ufahamu baada ya kifo, kinyume na hapo kisayansi ukifa ndo umekufa.
Yes, ila bado hazijawa scientically proven.. Kuna trancedental meditation pamoja na Near death experiences..

Zote zinaelezea namna watu walio kwenye coma huwa wanakuwa aware of what's going on now and everywhere baada ya kuweza kuamka tena
 
That's a lie it's even up to this day never traced where life begins...

The body is itself a servant, yaani consciousness ambayo hata wewe hauna control nayo ipo... When a baby is born it's not aware of itself but only conscious..

What you call memory is not you.. Hiyo ni muunganiko wa psychological, biological and environmental conditioning
Point! Una point kabisa ila Mimi naona yote ni comforting yourself with fairy tales because you can't face the void.

Most people fear death. Like hivi kweli ndio nikifa sipo tena. Yeah! Tukifa ndio umekufa. Hakuna jingine. Sasa kujifariji binadamu tunakuja na hizi majibu za kujiridhisha.

Labda niulize swali, mimea na wanyama wengine wanayo consciousness?
 
Yes, ila bado hazijawa scientically proven.. Kuna trancedental meditation pamoja na Near death experiences..

Zote zinaelezea namna watu walio kwenye coma huwa wanakuwa aware of what's going on now and everywhere baada ya kuweza kuamka tena
Sure but Near death experience sio death experience. Nadhani kisayansi kifo kipo kama kabla hujazaliwa. Unakuwa tu haupo, haujui kama haupo. Umefutika na hujui kama umefutika.
 
Yes, ila bado hazijawa scientically proven.. Kuna trancedental meditation pamoja na Near death experiences..

Zote zinaelezea namna watu walio kwenye coma huwa wanakuwa aware of what's going on now and everywhere baada ya kuweza kuamka tena
Being in Coma sio kufa! Ubongo bado uko active. Naamini mtu akiwa kwenye Coma anaweza pata tu illusions na mapichapicha ya ubongo akaja kusimulia. Sidhani kama ukifa unapata experience yeyote, Mzee.

It is just like when you were not born. Haukuwepo na ukifa ni hivyohivyo. Haupo. Sio kwamba utakuwa pahala. La! Hautakuwepo.
 
Sure but Near death experience sio death experience. Nadhani kisayansi kifo kipo kama kabla hujazaliwa. Unakuwa tu haupo, haujui kama haupo. Umefutika na hujui kama umefutika.
Excellent. Death ni kama tu kabla haujakuwepo. Ni haupo. Haujui kama upo au haupo. Ila haupo tu - umepotea.

Hizi zingine ni namna tu ya binadamu kujifariji kwa sababu tunayapenda maisha kuliko kawaida.
 
Being in Coma sio kufa! Ubongo bado uko active. Naamini mtu akiwa kwenye Coma anaweza pata tu illusions na mapichapicha ya ubongo akaja kusimulia. Sidhani kama ukifa unapata experience yeyote, Mzee.

It is just like when you were not born. Haukuwepo na ukifa ni hivyohivyo. Haupo. Sio kwamba utakuwa pahala. La! Hautakuwepo.
This are the minds which aren't willing to learn!!

Sasa wewe ndo ulikuwa kwenye comma?

Comma is total non functioning of the mind, hakuna neuron inayo fire pale.

Sasa wakitoa ushuhuda mnawaita wachawi, sijui wanaona mapicha picha kwa nini yanamake sense kwenye reality?

A programmed mind cannot get out of the system.
 
Back
Top Bottom