lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,151
- 33,333
- Thread starter
- #81
Kweli kabisa,Lengo la marehemu magufuli na Sabaya ilikuwa ni kuua upinzani kwa kuanza kuidhoofisha chadema kwanza
Walijaribu kumdhoofisha Mbowe kiuchumi ili CDM ikose kiongozi makini lakini wakashindwa.
Wakaona njia iliyobaki ni kumpa makesi mengi tu yasiuo na kichwa wala miguu.