Imetenda haki maana ushaidi umewekwa wazi.Hatakwa Mbowe akidhibitika watu watakubali
Kiswahili chako kibovu. Akithibitika siyo akidhibitika. Kudhibiti ni kuweka katika himaya. Kuthibitisha ni kuweka bayana.
 
Hao uliowataja wote hawana cheo chochote!

Vipi sasa mamako mbona kamkamata Mbowe?

Si utawala wa kidhalimu haupo?

Mama sio dhalimu bali anaiga tembo kunya. Hata utembee uchi bado lile dhalimu hutaweza kulitakatisha fullstop.
 
Ukweli kesi ya Mbowe Kila anaeifuatilia anajua kabisa kuwa kesi hii ni ya kutunga,na ukweli pia kesi ya Sabaya kila anaeifuatilia anajua kabisa kuwa kesi yake ni ya ukweli.

CCM wote wanajua kabisa kesi ya Mbowe ni ya kumkomoa,na CCM wote wanajua kabisa Kesi ya Sabaya ni kweli alfanya makosa yale.
Lakini Wana CCM hawawezi kufurahia Sabaya Kufungwa na hawawezi kufurahia Mbowe kushinda Kesi.

Kesi ya Mbowe ikifanyiwa masihara inaenda kuiaibisha serikali na kumpaisha Mbowe kimataifa.

Kesi ya Mbowe kama akifungwa itaenda kumfanya Mbowe kuwa mmoja ya wafungwa maarufu duniani kama Nelson Mandela,Mahatma Ghadi,Martin Luther King,Ken Saro Wiwa na Kenneth Kaunda.

Ifahamike kwamba makosa ya Mbowe sio halisia.

Kesi hii imeanza kivuta hisia za watu wengi ndani na nje ya nchi.

Watu hawafurahi Sabaya Kufungwa kwa sababu hawampendi,hapana,bali ni kwa sababu kafanya uhalifu kweli na watu wanajua.
Kama angekua hajafanya makosa kweli wangesikitika tu

Watu hawasikitiki Mbowe kuwekwa mahabusu au kushitakiwa kwa sababu wanampenda,hapana,kama angekua amefanya makosa kweli wangefurahi tu kushitakiwa na wangefurahi akihukumiwa kifungo.

Hao Mabalozi kuja mahakamani Kesi ya Mbowe sio wajinga,wala sio kwamba wanampenda sana Mbowe,hapana,bali wanakuja kushuhudia jinsi Mbowe anavyoonewa au jinsi gani maamuzi yatakavyofanyika.

Jamani ee!
Maamuzi ya Kesi ya Mbowe yatakua na athari kwa nchi yetu,
Sisi Tanzania Kila siku tunasemo wetu kuwa tunajenga nchi,au tunajenga Uchumi.

Tunaweza kuona ni masihara lakini kimasihara tu tunaweza kuona nchi yetu inatengwa kidogokidogo.

Kama tunabisha tukumbuke Zimbabwe iko wapi?

Kuwapoteza wadau wa maendeleo kama Denmark sio jambo Dogo.
kutengwa hakuji mara moja,kunakuaja kidogokidogo na kukufanyia kitendo cha Kujenga Uchumi kuwe kigumu.

Ushahidi wa ujambazi wa Sabaya hauna mashaka,
Lakini ushahidi wa Kesi ya Mbowe ina mashaka Sana.

Na kama Mahakama itafuata haki kwenye Kesi ya Mbowe Basi wale mashahidi na serikali wanastahili kufunguliwa mashitaka kwa kutoa ushahidi wa uongo na wale askari waliowatesha makomandoo wetu wanastahili kushitakiwa.

Tukisema Dunia mzima inafuatilia Kesi ya Mbowe tunamaanisha hivi.

Hapa Tanzania tuna mabalozi wa nchi nyingi Sana,mabalozi ni wawakilishi wa nchi zao,wapo mabalozi wanakuja mahakamani kufuatila Kesi hii na wale wasiokuja wanaifuatilia kwa vianzio vyoa wanavyovijua.

Kuna vyombo vya habari vya kidunia kama CMN, BBC,DW,VOA,Aljazeera ntc,Hawa wote hawana habari na Sabaya,bali Wana habari na Mbowe.
Sababu juu ni Sabaya kafanya makosa kweli na Mbowe hajafanya makosa kweli.

Samia anahujumiwa.
Mbowe sio Gaidi.
ikumbukwe pia chanzo mojawapo ya kesi ya mbowe ni huyo huyo Sabaya kwani ndiye alipanga njama zote za kumhujumu mbowe jimboni kwake kwa maelekezo ya magufuli,
Ni Sabaya aliwatuma Polisiccm kwenda kuwakamata walinzi wa mbowe ambao walikuwa ni wageni moshi baada ya kuwa amedukua mawasiliano ya mbowe akajua mbowe anapata Ulinzi mzuri huenda ikawa vigumu kumvamia Usiku na mda wowote bora awavuruge mapema , ndipo Sabaya akawatuma mahita Polisiccm kwenda kuwakamata kuwapiga kuwafunga pingu saa 24 kila siku kuwalazimisha wakubali ugaidi hewa ugaidi feki ambao haukuwepo kabsa, wakaona haitoshi wakadukua mawasiliano ya mbowe kujua nani alimpa walinzi wasitaafu wa jwtz, wakabaini kuna ndugu yake mbowe yupo jeshini anaitwa LT Urio na Asikari mwingine Moses Lejenje ndiyo walimsaidia kumpa walinzi ambao ni Asikari wasitaafu, wakatuma maombi jwtz kuwaleta Lt Urio na Lijenje moses kwa tuhuma feki za ugaidi kumsaidia mbowe kupata watu wa kufanya ugaidi, wakawatesa sana kwa kushirikiana na baadhi wawakilishi wa jwtz waliotumwa kuwaleta kwenye mikono ya Polisiccm, ukafanyika unyama mateso kuwalazimisha weseme ugaidi hewa hadi kupelekea umauti wa Moses Lilenje huku Lt Urio akiwa hajulikani alipo mpaka sasa, wamewatesa watu kwa Tuhuma feki ya kutengeneza kienyeji kwa njia haramu za kishetani ni Aibu kwa utawala uliopita na sasa
 
Naona manazi wanaleta ushabiki maandazi na kutishia nyau wakidhani hatujui makosa ya Sabaya, na mashitaka ya Mbowe. Kesi ya Mbowe ni matokeo ya siasa chafu za Magufuli na genge lake la kina Sabaya, Makonda, vyombo vya dola nk. Yaani hiyo mahakama itoe hukumu kwa Mbowe kwa kutaka kubalance au vinginevyo, tunajua kabisa Sabaya alikuwa ni kiongozi muovu aliyepewa kiburi cha madaraka na Magufuli, na Mbowe ni muhanga wa hizo siasa chafu. Ni juu ya mahakama kutoa hukumu kwa haki. Tena mahakama inatakiwa iwaonye viongozi walevi wa madaraka wa kubambikia watu wema kesi.
Unyama unyanyasaji wa Sabaya kwa Raia ulikuwa wazi lakini kesi ya ugaidi ya mbowe haina uthibitisho ni kesi haramu iliyotengenezwa kishetani
 
Wewe mwali endelea kuvuta Bangi kwanza maana inaelekea unajiandikia andikia hovyo hovyo hata ukipewa tafasiri unaanza ubishi wa gheto unaposhinda ukivuta Bangi
Kajifundishe kuandika Kiswahili fasaha kwanza,unaruka ruka tu kama Kuku aliyekatwa kichwa.
 
Mahakama ipi? huko mahakama mnaruhusu watu kufika acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni
Kama huiamini Mahakama mbona umekubali hukumu ya Sabaya? Kichwa chako kimejaa minyoo hujui hata unachokiandika,

Piga kimya ili usiendelee kuonekana kituko hapa boya wewe.
 
Kajifundishe kuandika Kiswahili fasaha kwanza,unaruka ruka tu kama Kuku aliyekatwa kichwa.
Wewe mwenyewe mbumbumbu hujui chochote unawezaje kujua Kiswahili fasaha wakati una upungufu wa Akili ni kigezo gani umekutumia kujua kama unajua Kiswahili? Acha ujinga wako jikite kwenye mada acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni
 
Kupaa kimataifa ukiwa unamyea ndoo hakusaidii chochote kwa maslahi ya chadema.
Kutaka kutishia mbowe asihukumiwe kinyume na matarajio ya wana chadema kwa kutumia uhusiano wa kimataifa hakusaidii chochore kubadili ukweli.

Hii ni nchi huru na inapaswa kufuata sheria kulimgana na katiba yetu.
Kamwe kama taifa hatuwezi kuogopa kuchukua hatua kulinda usalama wa nchi, kwa kuogopa wale mabalozi wa EU waliojazwa ujinga na Lissu.

Sheria ni msumeno, kama unaweza kukata upande wa Sabaya iweje ishindwe kukataa kukata upande wa Mbowe?

Mnahangaika kuongelea mambo yaliyoko mahakamani kinyume na sheria na katiba.
 
Back
Top Bottom