Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,526
- 13,013
Saccos mnaifuatilia hata ikiandaa mazoezi ya miili yao IGP anajamba jamba.Gaidi lazima ale mvua za kutosha. Ndio mwisho wa saccos huo.
Saccos mnaifuatilia hata ikiandaa mazoezi ya miili yao IGP anajamba jamba.Gaidi lazima ale mvua za kutosha. Ndio mwisho wa saccos huo.
Kiswahili chako kibovu. Akithibitika siyo akidhibitika. Kudhibiti ni kuweka katika himaya. Kuthibitisha ni kuweka bayana.Imetenda haki maana ushaidi umewekwa wazi.Hatakwa Mbowe akidhibitika watu watakubali
Hao uliowataja wote hawana cheo chochote!
Vipi sasa mamako mbona kamkamata Mbowe?
Si utawala wa kidhalimu haupo?
ikumbukwe pia chanzo mojawapo ya kesi ya mbowe ni huyo huyo Sabaya kwani ndiye alipanga njama zote za kumhujumu mbowe jimboni kwake kwa maelekezo ya magufuli,Ukweli kesi ya Mbowe Kila anaeifuatilia anajua kabisa kuwa kesi hii ni ya kutunga,na ukweli pia kesi ya Sabaya kila anaeifuatilia anajua kabisa kuwa kesi yake ni ya ukweli.
CCM wote wanajua kabisa kesi ya Mbowe ni ya kumkomoa,na CCM wote wanajua kabisa Kesi ya Sabaya ni kweli alfanya makosa yale.
Lakini Wana CCM hawawezi kufurahia Sabaya Kufungwa na hawawezi kufurahia Mbowe kushinda Kesi.
Kesi ya Mbowe ikifanyiwa masihara inaenda kuiaibisha serikali na kumpaisha Mbowe kimataifa.
Kesi ya Mbowe kama akifungwa itaenda kumfanya Mbowe kuwa mmoja ya wafungwa maarufu duniani kama Nelson Mandela,Mahatma Ghadi,Martin Luther King,Ken Saro Wiwa na Kenneth Kaunda.
Ifahamike kwamba makosa ya Mbowe sio halisia.
Kesi hii imeanza kivuta hisia za watu wengi ndani na nje ya nchi.
Watu hawafurahi Sabaya Kufungwa kwa sababu hawampendi,hapana,bali ni kwa sababu kafanya uhalifu kweli na watu wanajua.
Kama angekua hajafanya makosa kweli wangesikitika tu
Watu hawasikitiki Mbowe kuwekwa mahabusu au kushitakiwa kwa sababu wanampenda,hapana,kama angekua amefanya makosa kweli wangefurahi tu kushitakiwa na wangefurahi akihukumiwa kifungo.
Hao Mabalozi kuja mahakamani Kesi ya Mbowe sio wajinga,wala sio kwamba wanampenda sana Mbowe,hapana,bali wanakuja kushuhudia jinsi Mbowe anavyoonewa au jinsi gani maamuzi yatakavyofanyika.
Jamani ee!
Maamuzi ya Kesi ya Mbowe yatakua na athari kwa nchi yetu,
Sisi Tanzania Kila siku tunasemo wetu kuwa tunajenga nchi,au tunajenga Uchumi.
Tunaweza kuona ni masihara lakini kimasihara tu tunaweza kuona nchi yetu inatengwa kidogokidogo.
Kama tunabisha tukumbuke Zimbabwe iko wapi?
Kuwapoteza wadau wa maendeleo kama Denmark sio jambo Dogo.
kutengwa hakuji mara moja,kunakuaja kidogokidogo na kukufanyia kitendo cha Kujenga Uchumi kuwe kigumu.
Ushahidi wa ujambazi wa Sabaya hauna mashaka,
Lakini ushahidi wa Kesi ya Mbowe ina mashaka Sana.
Na kama Mahakama itafuata haki kwenye Kesi ya Mbowe Basi wale mashahidi na serikali wanastahili kufunguliwa mashitaka kwa kutoa ushahidi wa uongo na wale askari waliowatesha makomandoo wetu wanastahili kushitakiwa.
Tukisema Dunia mzima inafuatilia Kesi ya Mbowe tunamaanisha hivi.
Hapa Tanzania tuna mabalozi wa nchi nyingi Sana,mabalozi ni wawakilishi wa nchi zao,wapo mabalozi wanakuja mahakamani kufuatila Kesi hii na wale wasiokuja wanaifuatilia kwa vianzio vyoa wanavyovijua.
Kuna vyombo vya habari vya kidunia kama CMN, BBC,DW,VOA,Aljazeera ntc,Hawa wote hawana habari na Sabaya,bali Wana habari na Mbowe.
Sababu juu ni Sabaya kafanya makosa kweli na Mbowe hajafanya makosa kweli.
Samia anahujumiwa.
Mbowe sio Gaidi.
Watengeneza kesi ya mbowe hawakujipanga vizuri na pia damu ya mateso makubwa kwa walinzi wa mbowe na pia wale Asikari wa jwtz waliompatia walinzi mbowe inawalilia kuwatafunaHii kesi watakuwa wanajuta kuifungua.
Mungu atamlinda kwani tayari PGO imejulikana na pia mahita kingai wamejulikana unyama waoNamhurumia Sana Mbowe
Kwani wewe mahita haumuogopi mungu?Acha kuwehuka. Tuliza "kasesela" zako hizo.
Watengeneza kesi ya mbowe wanajutua sasa kwani imeleta Aibu kuwa kwa Nchikesi ya mbowe ni ya moto. Kuendelea ngumu kuifuta ngumu
JF walikuambia wanapingana na mahakama? au umeamua kujiandikia tu ili mradi na wewe uonekane umeandika kitu?Iachiwe Mahakama ndio itatoa uamuzi,kelele za JF haziwezi kubadili kitu chochote.
We Binti kuna sehemu nimesema jf inapingana na Mahakama? Punguza kimbelembele.JF walikuambia wanapingana na mahakama? au umeamua kujiandikia tu ili mradi na wewe uonekane umeandika kitu?
Unyama unyanyasaji wa Sabaya kwa Raia ulikuwa wazi lakini kesi ya ugaidi ya mbowe haina uthibitisho ni kesi haramu iliyotengenezwa kishetaniNaona manazi wanaleta ushabiki maandazi na kutishia nyau wakidhani hatujui makosa ya Sabaya, na mashitaka ya Mbowe. Kesi ya Mbowe ni matokeo ya siasa chafu za Magufuli na genge lake la kina Sabaya, Makonda, vyombo vya dola nk. Yaani hiyo mahakama itoe hukumu kwa Mbowe kwa kutaka kubalance au vinginevyo, tunajua kabisa Sabaya alikuwa ni kiongozi muovu aliyepewa kiburi cha madaraka na Magufuli, na Mbowe ni muhanga wa hizo siasa chafu. Ni juu ya mahakama kutoa hukumu kwa haki. Tena mahakama inatakiwa iwaonye viongozi walevi wa madaraka wa kubambikia watu wema kesi.
Peleka ushahidi wako Mahakamani acha kukata kiuno hapa.Unyama unyanyasaji wa Sabaya kwa Raia ulikuwa wazi lakini kesi ya ugaidi ya mbowe haina uthibitisho ni kesi haramu iliyotengenezwa kishetani
Wewe mwali endelea kuvuta Bangi kwanza maana inaelekea unajiandikia andikia hovyo hovyo hata ukipewa tafasiri unaanza ubishi wa gheto unaposhinda ukivuta BangiWe Binti kuna sehemu nimesema jf inapingana na Mahakama? Punguza kimbelembele.
Kajifundishe kuandika Kiswahili fasaha kwanza,unaruka ruka tu kama Kuku aliyekatwa kichwa.Wewe mwali endelea kuvuta Bangi kwanza maana inaelekea unajiandikia andikia hovyo hovyo hata ukipewa tafasiri unaanza ubishi wa gheto unaposhinda ukivuta Bangi
Mahakama ipi? huko mahakama mnaruhusu watu kufika acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoniPeleka ushahidi wako Mahakamani acha kukata kiuno hapa.
Hicho ulichoandika hapo ni Kiswahili cha wapi? Jifundishe wewe mwenyewe kwanza kwani hukijuiKajifundishe kuandika Kiswahili fasaha kwanza,unaruka ruka tu kama Kuku aliyekatwa kichwa.
Kama huiamini Mahakama mbona umekubali hukumu ya Sabaya? Kichwa chako kimejaa minyoo hujui hata unachokiandika,Mahakama ipi? huko mahakama mnaruhusu watu kufika acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni
Wewe mwenyewe mbumbumbu hujui chochote unawezaje kujua Kiswahili fasaha wakati una upungufu wa Akili ni kigezo gani umekutumia kujua kama unajua Kiswahili? Acha ujinga wako jikite kwenye mada acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoniKajifundishe kuandika Kiswahili fasaha kwanza,unaruka ruka tu kama Kuku aliyekatwa kichwa.