lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,128
- 33,172
- Thread starter
- #21
Na tunasubiri tuone kama Mahakama Bado itaendelea kupokea maagizo toka kwa wanasiasa hata baada ya kuondoka kwa Jiwe.Ni wazi kuwa mahakama imeletwa "the benefit of doubt."
Kwamba harakati zote zimekuwa "scaled down" kiasi hiki, kuwa ni bure tu?
Kimya kingi kina mshindo mkuu!
Hii Kesi ya Mbowe ni ya kisiasa tofauti na Kesi ya Mhalifu jambazi Sabaya