"Ongeza sauti kidogo"Huyu mama akiimaliza hii minne nitashangaa kama nilivyoshangaa Magufuli kumaliza ile mitano kwanza
Mulamula Yuko weak Hana ubavu wa kufokea mabalozi kuzingatia mkataba wa Vienna ConventionBaadhi ya mabalozi nchini waliofika mahakamani leo kufatilia kesi inayomkabiri Mh. Mbowe.
View attachment 1916760
SIsi tukiomba uraia pacha hatupewi.Mulamula Yuko weak Hana ubavu wa kufokea mabalozi kuzingatia mkataba wa Geneva Convention
Kumtoa Profesa Kabudi alichemka
Mulamula ana uraia wa Marekani ndio maana ambassadors hawamuogopi
Lissu ni GeniusDikteta Samia.
View attachment 1916780
Sasa Mulamula ndio mabalozi wanamuonyeshea kuwa kwenda zako una uraia wa Nchi zetu halafu unaleta za kuleta ohhh mabalozi zingatieni ya Vienna Convention!! To hell with you.Hii ndio message wanamtumia Mulamula na Mama SamiaSIsi tukiomba uraia pacha hatupewi.
Hebu ongeza sauti hawajasikia, unasemaaaa?Mulamula ana uraia wa Marekani ndio maana ambassadors hawamuogopi
Ana duo citizenship ya Nchi zao ndio maana hata hawamsikiliziHebu ongeza sauti hawajasikia, unasemaaaa?
Heeeeeeee duh...tutajua mengi mwaka huu...Mulamula Yuko weak Hana ubavu wa kufokea mabalozi kuzingatia mkataba wa Geneva Convention
Kumtoa Profesa Kabudi alichemka
Mulamula ana uraia wa Marekani ndio maana ambassadors hawamuogopi
Ana duo citizenship ya Nchi zao ndio maana hata hawamsikiliz
Profesa Jalala ndiye alichemka zaidiMulamula Yuko weak Hana ubavu wa kufokea mabalozi kuzingatia mkataba wa Geneva Convention
Kumtoa Profesa Kabudi alichemka
Mulamula ana uraia wa Marekani ndio maana ambassadors hawamuogopi
Malamula yuko weak kama nani ?? 🤣🤣🤣Mulamula Yuko weak Hana ubavu wa kufokea mabalozi kuzingatia mkataba wa Geneva Convention
Kumtoa Profesa Kabudi alichemka
Mulamula ana uraia wa Marekani ndio maana ambassadors hawamuogopi