welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 1,713
- 3,673
alfu tatu itapendeza zaidi
Wazee wamekaa Wakaamua kumpa awamu 6, huu ni mtego , wakampa na PhD feki, yote Haya ni kumpumbaza mjoliSasa si yeye awamu ya sita? Unafikiri utachukuwa wewe Urais? Unaota?
falsafa yake ya R 4 itampa PhD nyingi sana, hata za Kimataifa.Wazee wamekaa Wakaamua kumpa awamu 6, huu ni mtego , wakampa na PhD feki, yote Haya ni kumpumbaza mjoli
Ndugu zangu watanzania katiba yetu imeweka ukomo wa muhula mmoja wa viongozi akiwamo rais na wabunge kuchaguliwa kila baada ya miaka mitano. Hii ni nzuri ila tatizo kubwa ni kwamba katiba imeweka ukomo wa raisi kuwa miaka 10 tuu kitu ambacho sio sahihi.
Ni muda muafaka kifungu hicho kifanyiwe marekebisho haraka ili raisi aweze kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi na kuendelea. Miaka mitano au kumi ni michache sana kumpatia mama atuvushe. Kwaiyo mfano katiba mpya ikija iwe na option kama raisi akitaka kugombea agombee tena na sio miaka kumi ikiisha ndiyo basi.
Hii imekaa poa manake kuna katiba za vyama watu wanaruhusiwa kugombea nafasi hadi miaka 20 na kuendelea .
Pamoja tuungane na tujenge taifa letu
Kila kitu kinapangwa Kwa kusudi maalumu, wazee miyeyusho sanafalsafa yake ya R 4 itampa PhD nyingi sana, hata za Kimataifa.
Unafahamu kuwa dunia imeitambuwa mpango wake wa BBT kuwa ni bora duniani na wanakuja watu wa Dunia nzima kuanzia tarehe 5 September kumuunga mkono?
Huyu mama siyo kawaida kabisa.
Hakuna cha kupangwa, changamsha akili yako kidogo.Kila kitu kinapangwa Kwa kusudi maalumu, wazee miyeyusho sana
Usifananishe Ng'ombe na Ushuzi.Ng'ombe
Naona mnamuwangia.Ndugu zangu watanzania katiba yetu imeweka ukomo wa muhula mmoja wa viongozi akiwamo rais na wabunge kuchaguliwa kila baada ya miaka mitano. Hii ni nzuri ila tatizo kubwa ni kwamba katiba imeweka ukomo wa raisi kuwa miaka 10 tuu kitu ambacho sio sahihi.
Ni muda muafaka kifungu hicho kifanyiwe marekebisho haraka ili raisi aweze kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi na kuendelea. Miaka mitano au kumi ni michache sana kumpatia mama atuvushe. Kwaiyo mfano katiba mpya ikija iwe na option kama raisi akitaka kugombea agombee tena na sio miaka kumi ikiisha ndiyo basi.
Hii imekaa poa manake kuna katiba za vyama watu wanaruhusiwa kugombea nafasi hadi miaka 20 na kuendelea .
Pamoja tuungane na tujenge taifa letu
Ndugu zangu watanzania katiba yetu imeweka ukomo wa muhula mmoja wa viongozi akiwamo rais na wabunge kuchaguliwa kila baada ya miaka mitano. Hii ni nzuri ila tatizo kubwa ni kwamba katiba imeweka ukomo wa raisi kuwa miaka 10 tuu kitu ambacho sio sahihi.
Ni muda muafaka kifungu hicho kifanyiwe marekebisho haraka ili raisi aweze kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi na kuendelea. Miaka mitano au kumi ni michache sana kumpatia mama atuvushe. Kwaiyo mfano katiba mpya ikija iwe na option kama raisi akitaka kugombea agombee tena na sio miaka kumi ikiisha ndiyo basi.
Hii imekaa poa manake kuna katiba za vyama watu wanaruhusiwa kugombea nafasi hadi miaka 20 na kuendelea .
Pamoja tuungane na tujenge taifa letu
Hata kwa bwana yule ilianzaga hivi hivi matokeo yake akaishia miaka 5.Ndugu zangu watanzania katiba yetu imeweka ukomo wa muhula mmoja wa viongozi akiwamo rais na wabunge kuchaguliwa kila baada ya miaka mitano. Hii ni nzuri ila tatizo kubwa ni kwamba katiba imeweka ukomo wa raisi kuwa miaka 10 tuu kitu ambacho sio sahihi.
Ni muda muafaka kifungu hicho kifanyiwe marekebisho haraka ili raisi aweze kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi na kuendelea. Miaka mitano au kumi ni michache sana kumpatia mama atuvushe. Kwaiyo mfano katiba mpya ikija iwe na option kama raisi akitaka kugombea agombee tena na sio miaka kumi ikiisha ndiyo basi.
Hii imekaa poa manake kuna katiba za vyama watu wanaruhusiwa kugombea nafasi hadi miaka 20 na kuendelea .
Pamoja tuungane na tujenge taifa letu
Atuvushe kwenda wapi mkuu?Miaka mitano au kumi ni michache sana kumpatia mama atuvushe
Ndugu zangu watanzania katiba yetu imeweka ukomo wa muhula mmoja wa viongozi akiwamo rais na wabunge kuchaguliwa kila baada ya miaka mitano. Hii ni nzuri ila tatizo kubwa ni kwamba katiba imeweka ukomo wa raisi kuwa miaka 10 tuu kitu ambacho sio sahihi.
Ni muda muafaka kifungu hicho kifanyiwe marekebisho haraka ili raisi aweze kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi na kuendelea. Miaka mitano au kumi ni michache sana kumpatia mama atuvushe. Kwaiyo mfano katiba mpya ikija iwe na option kama raisi akitaka kugombea agombee tena na sio miaka kumi ikiisha ndiyo basi.
Hii imekaa poa manake kuna katiba za vyama watu wanaruhusiwa kugombea nafasi hadi miaka 20 na kuendelea .
Pamoja tuungane na tujenge taifa letu
Hata bila mabadiliko ya katiba, mama Samia ana haki ya kugombea mara mbili.
Hii aw
Katiba ijuwe wewe inatosha.Nilikuwa najua unajua walau katiba kumbe kuchwani patupu. Au ni ule ushabiki wa kujiondoa ufahamu
Nimeanza kutilia mashaka uwezo wako wa kupambanua mambo. Hata hili hukulijua pia.Katiba ijuwe wewe inatosha.
In shaa Allah sisi na mana Samia kwa miaka 10 kuanzia 2025.