Gosheni
Senior Member
- Oct 28, 2008
- 199
- 138
Nipo kwenye gari moja na Halima Mdee watu wanamfurahia sana.Watu waliosimamam barabarani wanapomwona wanapiga kelele.Wamefurahi sana kumuona.Kwa kifupi amekuwa kivutio machoni pa wengi.
dada regia,kwa ujumla haya ni maneno ya mtu mnyenyekevu.you inspire ma world.