Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

Ndio kwanza Kamati zimeundwa. Si msubiri basi muone kwanza watafanya nini? Waachieni wafanye kazi yao badala ya kuanzisha maandamano ambayo yanaweza yakazaa vurugu na kusimamisha hayo maendeleo tunayoyataka!

Hatuna muda wa kuwaangalia hawa wezi, tumeshawaona hawana jipya including you. Mtakimbia nchi safari hii,
 
there are currently 432 users browsing this thread. (149 members and 283 guests)
ich würde erwarten, dass alle mitglied chadema fan kuwa barabarani aber fuuny genug alle ihnen sind hier hinter dem bildschirm, gehen sie bitte auf der straße sehen sie die macht der regierung zu sehen

vipi tena hii ndiyo lugha ya ccm!unalo hilo mkuu,mtaongea mbaka kihafidhina mwaka huu!!
 
Kwa hiyo maandamano ndio yataleta hospitali?
Vyama vinavyojifanya kujali kwa nini visihamasishe foundations zitakazofanya miradi ya maendeleo kwa mfano?
Maandamano feki ni unafiki tu!

Oh really???

Wochi dhemu!!
 
Dr is bored now afadhari asimamie MATEMBEZI YA AMANI...hivi ni nini kinategemewa kutokana na matembezi haya?

Kutolipa Dowans?
Gharama za maisha kushuka?

Je wakilipwa na gharama za maisha zikiendelea kwenda juu nini kitafanyika matembezi mengine mbeya?

Umma unafanya warm-up wewe, subiri kidogo utaelewa tu
 
"our lives begin to end the moment we become silent on the things that matter" Martin Luther
sasa hao wanobeza maandamano ya CDM wanataka tukae kimya juu ya mambo ya msingi?? ACHENI UNAFIKI, S...NZI TYPE!!
 
Go Chadema go!

Kindly next time yaandaliwe parallel na tulio DSM.

Good work!
 
Mbona watu wachache namna hiyo, au matembezi hayajaanza....

185864_1806063746521_1087715548_32082093_2830888_n.jpg


181960_1806066466589_1087715548_32082108_675130_n.jpg


181768_1806065426563_1087715548_32082103_3300642_n.jpg
 
msipofanya hivyo mtakuwa mnapoteza muda wenu na wa wale mnaowadanganya, kwa sababu hututawaruhusu kushika dola.
kama hautaruhusu kwa hiari yako, basi sisi tutakuingilia kwa nguvu bila ridhaa yako!!
 
nimeamini aisee wananchi wanaipenda CHADEMA, hii ni dalili nzuri kwa mustakabali wa nchi yetu
 
ZeMarcopolo said:
Hamjawahi kuhamasisha hata ujenzi wa shule ya kata, kazi yenu kuandaa maandamano tu. Huo ni unafiki wa kisiasa, hamna moyo wa kweli wa kuleta maendeleo Tanzania.
Akili mgando kabisa -- kokote duniani wenye dola ndio walio na jukumu la kuleta maendeleo.

Kinachofanyika ni kuitaka CCM ihachie dola ili wengine waitumie kuleta maendeleo baada ya wao (CCM) kushindwa kwa kipindi cha miaka 50 (ukipenda nusu karne)!
 
Hatuna muda wa kuwaangalia hawa wezi, tumeshawaona hawana jipya including you. Mtakimbia nchi safari hii,

Kama una familia zidhani kama unaliombea hilo lifike. Kuikimbia nchi maana yake Vita. Hatutaki vita, tunataka kutafuta maendeleo kwa njia ya Amani! Njia hiyo ni kulitumia Bunge ambalo limeundwa karibuni na wabunge wenu wengi tu wamo humo. Hawatoshi kutetea hayo mnayoyataka?
 
Jamani nina wasiwasi na hiyo picha. Picha hii siyo ya mwanza!!
Mji wa mwanza na vilima vyake vinafahamika vizuri sana. Naomba niwe wa kwanza kuikataa picha hiyo na klusema wazi kuwa imechakachuliwa!!!!

Mkuu mimi wa pili, sehemu yenye vilima vya Mwanza vyote wanaishi watu, vilima vya nyakato,ilemela,nyamanoro,kirumba,bugando,nyashana, vilima vyote nyumba zipo, hapo kwenye hiyo picha sijui wapi..
 
Wenje anasema leo tunazindua ukombozi mpya wa kanda ya ziwa.

Anasema kanda hii imejaliwa kuwa na madini mengi kuliko wote lkn Bunda ni wilaya ya mwisho kwa umaskini.
 
Jamani tunalo Bunge lenye Kamati mbalimbali kufuatilia na kutetea mambo haya! Kweli maandamano kama haya ni kupoteza muda wa kazi, kusumbua wananchi, kuleta uchochezi na vurugu tu! Wengine wasiokwenda shule hawaelewi, wanawekwa tu kuandamana kufuata mkumbo na kupotezewa muda wa kutafuta Riziki. Uvunjaji wa Amani huanzia hapa kwenye maandamono. CDM be careful. Tumieni BUNGE P'se. Mkinyimwa kibali cha maandamano pia inakuwa nongwa. Muelewe nin muelewe? Do you know the meaning of Piece?


Sorry for what am about to say! Kwanza maandamano ni njia ya kuji-express (kisiasa and otherwise) inayotambulika duniani na ktk katiba ya TZ. Kama uipendi njia hiyo pendekeza hivyo ktk mabadiliko ya katiba yanayokuja. Pili and most important, TZ ya leo si ya jana acha dharau kwa WaTZ kuwa wanaandama kwa wasichokijua, kwa taarifa tu hao unaosema hawajui kitu wanafahamu vizuri sana kuliko ww usiyejua kuwa maandamano ni haki ya kikatiba na si fujo kama ulivyokuwa brain washed! Go back to school maandamano si uvinjifu wa amani.
 
Hawa jamaa wamefaulu kutawala thread ya maandamano yetu, wapotezee tu tujikite zaidi kuulizia yanayojiri huko Mwanza.
 
Duh kweli Mwanza na Arusha watu wanataka maendeleo ya kweli
 
Back
Top Bottom