Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

Zito where are you we real need your word here! inawezekana kweli una sababu maalumu , but I love to hear in details at leat kuonyesha tuko pamoja at least this time only. Kindly
 
Wanachama wa CCM wanaziachia kadi na kujiunga CDM sasa
 
Haya haya kumekucha, nguvu ya umma ndio hiyo imeanza, nyie na chama chenu mliandamana 5/2/2011 mlijenga shule, hospitali na barabara km ngapi siku hiyo? Au kwa cdm kuandamana ndio kupoteza muda, wengine ni sawa? kunya anye kuku akinya bata kaharisha, mpaka mkome hatuachi kuandamana mpaka kieleweke
 
katika hali isiyo tarajiwa wabunge wawili wameendelea kupingana na uongozi wa chadema kwa kukataa maandamano ya mwanza

Mpaka sasa leo(24.02.2011) sio chibuda sio zitto aliyeko kwenye maandamano ya mwanza


Nawapa big up zitto na shibuda

TZ is a free country, isn't it?
 
katika hali isiyo tarajiwa wabunge wawili wameendelea kupingana na uongozi wa chadema kwa kukataa maandamano ya mwanza

Mpaka sasa leo(24.02.2011) sio chibuda sio zitto aliyeko kwenye maandamano ya mwanza


Nawapa big up zitto na shibuda

You are crazier than I thought!!!! Kutokuwepo kwenye maandamano ndo kupinga!!???? Kazi ipo???!!!
 
Jamani tunalo Bunge lenye Kamati mbalimbali kufuatilia na kutetea mambo haya! Kweli maandamano kama haya ni kupoteza muda wa kazi, kusumbua wananchi, kuleta uchochezi na vurugu tu! Wengine wasiokwenda shule hawaelewi, wanawekwa tu kuandamana kufuata mkumbo na kupotezewa muda wa kutafuta Riziki. Uvunjaji wa Amani huanzia hapa kwenye maandamono. CDM be careful. Tumieni BUNGE P'se. Mkinyimwa kibali cha maandamano pia inakuwa nongwa. Muelewe nin muelewe? Do you know the meaning of Piece?

kijaruba
 
katika hali isiyo tarajiwa wabunge wawili wameendelea kupingana na uongozi wa chadema kwa kukataa maandamano ya mwanza

Mpaka sasa leo(24.02.2011) sio chibuda sio zitto aliyeko kwenye maandamano ya mwanza


Nawapa big up zitto na shibuda

THE TITLE U DESERVE IS "IDIOT' brain washed person
 
Huwezi kutegemea chadema team nzima kuwa pale kama picha ni ile mbona hata mbowe sijamuona....wagawana majukumu mengine ya kitaita au kichama..mbona wakati wa kampeni...wote walikuwa wanazunguka wakamwachia mnyika na mdee dar es salaam na mambo yakaenda sawa hawa papets kwenye JF.
 
Sio kweli kabisa,Zitto yuko kwenye maandamano mwanza toka jana alikuwa mwanza..acha uongo.
 
Haina haja yakuwapa big up.

Huenda wanamajukumu ambayo yamewablock.ila nafikiri sasa ni muda wa kuwa open minded na tuangalie ni kitu hasa ss watanzania tunahitaji,swala la ushabiki tuliondowe.I hope positive mind itajenga.to support wanaharakati wa kweli bila kuangalia alipotoka ,dini wala kabla.Time For Changeeeee
 
jeykey umeishaanza tena chokochoko. humpati mtu hapa. mbona humzungumzi Mbowe na akina Mnyika? JAMANI HUYU NI YULE YULE JEIKEI WA UKWELI.
 
mugumu nakuona online kaka....update mtu wangu
 
Enzi za Mwaaaalimu. "Wapinzani ni dhaifu, lakini wapo na msiwapuuze. Cha msingi ni kujifunza nidhamu kuhusu namna ya kuishi na vyama vingi". Sina hakika juu ya nini angekisema leo katika siasa tulizonazo.
 
Back
Top Bottom