Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

mnapoeza muda wa watu kufanya kazi. Watu wanataka barabara, hospitali, shule bora n.k. Hawataki maandamano.
Acheni uzushi, kahamasisheni shughuli za maendeleo.

wewe ndo unaepoteza muda wako kuandika hayo uliyoandika.
 
Hamjawahi kuhamasisha hata ujenzi wa shule ya kata, kazi yenu kuandaa maandamano tu. Huo ni unafiki wa kisiasa, hamna moyo wa kweli wa kuleta maendeleo Tanzania.

Wataleta maendeleo bila umeme?, Au umesahau uhusiano wa umeme na uchumi?

Wengine wanaweza sema; Bora kuamasisha wananchi wakalime, je hizo pamba zikivunwa zitasindikwa vipi bila ya umeme?

TAFAKARI NA CHUKUA HATUA!
 
Kwa hiyo unadhani baada ya maandamano hayo uchwara bajeti ya nchi itabadirishwa?
Nothing will be achieved by those maandamano other than media attention!
mkuuu nyinyi nikuacha wizi tuu mbona pesa mnayokusanya inatosha kufanyia hayo yooote kwani cdm ni serikali? kama uliona mtashindwa kuleta maendeleo mngewaachia wenye uchungu na nchi yao! NYINYI MATAAHILA HAMUENDI BILA MAANDAMANO!
 
Mnapoeza muda wa watu kufanya kazi. Watu wanataka barabara, hospitali, shule bora n.k. Hawataki maandamano.
Acheni uzushi, kahamasisheni shughuli za maendeleo.
Acha kuweweseka mkuu, watu hawataki maandamano mbona wamejitokeza? jiulize CCM 5-02 ilibidi wachukue wasanii iliwatu wajitokeze lakini leo kwenye maandamano sitegemei kama kutakuwa na wasanii lakini utashangaa umati utakao jitokeza pamoja na vitisho vyote vya mafisadi, huu ni mwanzo tu subilia matokeo yake baada ya nchi nzima kuzungukiwa...Miaka 50 tulikuwa hatuandamani tumepata huduma bora za barabara, hospitali, Elimu?....
 
cha msingi sio kujua theme bali ni kujiuliza jamii itanufaika vipi na maandamano hayo na je, jitihada zinazotumika kuandaa maandamano zisingeweza kutumika kuleta manufaa zaidi? Hawa wote wanafiki tu!

kabla hujaita wawtu wanafiki jiulize, je wewe sio mnafiki?
 
Kwa hiyo maandamano ndio yataleta hospitali?
Vyama vinavyojifanya kujali kwa nini visihamasishe foundations zitakazofanya miradi ya maendeleo kwa mfano?
Maandamano feki ni unafiki tu!
HAYA MATATIZO YOOTE KALETA MAKAMBA! n
 
Kama kuna anayeweza kunitajia kitu kimoja kilichopatikana kwa chama fulani cha siasa Tanzania kwa njia ya maandamano aweke hapa. Kila siku mnaandamana na kutoa hotuba zisizo na tija halafu jioni mnarudi nyumbani. Mantiki yake nini sasa?
Hivi huwa mnakaa na kuevaluate mafanikio yanayopatikana kutokana na hayo maandamano?
 
Cha msingi sio kujua theme bali ni kujiuliza jamii itanufaika vipi na maandamano hayo na je, jitihada zinazotumika kuandaa maandamano zisingeweza kutumika kuleta manufaa zaidi? Hawa wote wanafiki tu!

Hata Egypt,Tunisia na sasa Libya wanapoteza muda wao siyo?
 
Mnapoeza muda wa watu kufanya kazi. Watu wanataka barabara, hospitali, shule bora n.k. Hawataki maandamano.
Acheni uzushi, kahamasisheni shughuli za maendeleo.

Hata maandamano ni sehemu ya kuhamasisha maendeleo. Ndo maana hata mkulima haishii kulima tuu hata kuieleza familia yake kwamba shambani kumejaa nyani wanakula mazao wauawe ni sehemu ya shughuli za kilimo.
 
Wataleta maendeleo bila umeme?, Au umesahau uhusiano wa umeme na uchumi?

Wengine wanaweza sema; Bora kuamasisha wananchi wakalime, je hizo pamba zikivunwa zitasindikwa vipi bila ya umeme?

TAFAKARI NA CHUKUA HATUA!

Sasa kama kinachohitajika ni umeme, maandamano yataleta umeme?
Can anyone quantify manufaa ya hayo maandamano? taking into account kuwa yanatumia pesa nyingi kuyaandaa!?
 
Re: Maandamano ya CHADEMA Jiji la Mwanza-Live
Mnapoeza muda wa watu kufanya kazi. Watu wanataka barabara, hospitali, shule bora n.k. Hawataki maandamano.
Acheni uzushi, kahamasisheni shughuli za maendeleo. WEWE UNADHANI BILA MISUKUMO KAMA HII KUNAUTAKACHO AMBULIA????? FIKIRIA KABLA YAKUANDIKA.​
 
msihangaike na huyu...sijui anajiitA ZEmakopo..lo.....


some peaple are alive just because it is illegal to kill them.....mfano ni huyu jamaa..kubwa lakini jingaaa
 
Kwa hiyo maandamano ndio yataleta hospitali?
Vyama vinavyojifanya kujali kwa nini visihamasishe foundations zitakazofanya miradi ya maendeleo kwa mfano?
Maandamano feki ni unafiki tu!
Mbona wewe zeMarcopolo unaponda tu maandamano, au hujasoma na kama umesoma hujaelimika; maandamano yamefanya kazi Tunisia, Misri na kwingineko wewe unabeza!!! haya umehamasisha shughuli gani ya maendeleo basi hata humu JF tu!!! Mwache regia atujuze kama unaboreka ziba pua ahhh ziba masikio aaaahhh ziba macho. au Funga ukaendeleze uvivu wako wa kutafakari
 
Hivi we Ze marco polo ni mtu wa wapi, au we ni ndugu ake na Alidawi?? mana inaonekana wewe asili yako si Bongo, unaifahamu vzr CHADEMA?, unafaham ni nin wanachodai? alo km huwezi kuchangia ni bora ukae kimya!
 
Mnapoeza muda wa watu kufanya kazi. Watu wanataka barabara, hospitali, shule bora n.k. Hawataki maandamano.
Acheni uzushi, kahamasisheni shughuli za maendeleo. WEWE UNADHANI BILA MISUKUMO KAMA HII KUNAUTAKACHO AMBULIA????? FIKIRIA KABLA YAKUANDIKA.​
 
sasa kama kinachohitajika ni umeme, maandamano yataleta umeme?
Can anyone quantify manufaa ya hayo maandamano? Taking into account kuwa yanatumia pesa nyingi kuyaandaa!?
ulitaka tufanye nini mkuu toa ushauli wako basi tukusikie makamba!
 
Hata Egypt,Tunisia na sasa Libya wanapoteza muda wao siyo?

Hivi unaweza kufananisha na maandamano hayo nayale ya Egypt, Tunisia na Libya?
Nyinyi mnafanya maandamano kama disco halafu mnafananisha na watu wanaofanya maandamano ya kudai mabadiriko!!!
Usidanganyike ukadhani kuwa maandamano ya Egypt, Tunisia na Libya yanafanana na disco inayochezwa Mwanza!
 
Kwa hiyo maandamano ndio yataleta hospitali?
Vyama vinavyojifanya kujali kwa nini visihamasishe foundations zitakazofanya miradi ya maendeleo kwa mfano?
Maandamano feki ni unafiki tu!
wewe maandamano unayoyataka ni ya mshikamano. tunawajua nyinyi, wivu tu umewajaa. mnaona nchi inawashinda mnasingiziaMaandamano. Mbona nchi za Kiarabu zimefanikiwa ktk kuandamana? Wewe subiri upepo ugeuke ndipo utakapojua nini kitawatokea. Kama mgeshinda kihalali bila ya wizi leo hii msingestuka hivi.Na kama mgechaguliwa kwa % mlizojitangazia. watu wote wangewaunga mkono. Soma alama za nyakati.Nchi imeshamwagiwa Petroli cheche tu Moto utawaka.
 
mnapoeza muda wa watu kufanya kazi. Watu wanataka barabara, hospitali, shule bora n.k. Hawataki maandamano.
Acheni uzushi, kahamasisheni shughuli za maendeleo.

huyu kajiandaa kututtoa kwenye mada.tafadhali mpuuzeni atwapotezea muda.katumwa na wako wengi sana, msipokuwa makini mtabaki mnajadili mawazo yao.take care

 
kwa nini CHADEMA hawamnunulii Dr Viatu vingine, Dr anavaa viatu hivyo hivyo tangia ufunguzi wa campaign last year August.
 
Back
Top Bottom