Utajuta sana mwaka huu, wajinga tu ndio hawaoni tofauti ya chadema na vyama vingine, lakini tutazidi kwaelimisha, narudia tena, unataka Lema aacha mil 90 ili mumlipe al adawi, ili kikwete akabembee Jamaica?
katika hali isiyo tarajiwa wabunge wawili wameendelea kupingana na uongozi wa chadema kwa kukataa maandamano ya mwanza
Mpaka sasa leo(24.02.2011) sio chibuda sio zitto aliyeko kwenye maandamano ya mwanza
Nawapa big up zitto na shibuda
katika hali isiyo tarajiwa wabunge wawili wameendelea kupingana na uongozi wa chadema kwa kukataa maandamano ya mwanza
Mpaka sasa leo(24.02.2011) sio chibuda sio zitto aliyeko kwenye maandamano ya mwanza
Nawapa big up zitto na shibuda
Hamna ubavu mnamgwaya sana Zitto,mtu kakisariti chama lakini mnaunda kamati mwisho mnamsamehe! Atawasumbua sana! Tatizo ameshajiona ana akili na uwezo mkubwa wa kujenga hoja! Anafanya makusudi anajua chadema haina uwezo wa kumfanya chochote!haina neno na sisi tutawapata tu katika kumi na nane zetu hasa hasa huyo zito... huyu shibuda hana neno maana tumemjua kimjini mjini tutambwaga tu
na hao ndo wenye hekima ya kweli ndani ya chadema. wengine ni washabiki tu na si wanasiasa wa kweli, wamejawa jazba zisizo na msingi na utoto mwingi. we angalia ata mahudhurio ya hao waandamanaji, hakuna kipya ila porojo tu. na ujue leo ni siku ya maandamano nchi nzima ambayo huwezi kuyafeel hata kiduchu. kabwe hoyeeeeeeeeeee, shibuda hoyeeeeeeeeeeeeee
Chama chenye viongozi wa wanafiki wakubwa hawaishi kwa Vitendo wanaishi kwa maneno tu! Tulitegemea Chadema wakatae zile 90 milion walizopewa wabunge! Hakuna hata Mbunge mmoja kutoka chadema aliejaribu kusema juu ya ufisadi huo! Leo wanapoteza muda kuandamanisha watu wanafiki wakubwa hao,hawana maana yeyote! Nimeanza kuichukia Chadema kwa kukubali kula rushwa ya 90m wakati watu wetu ni maskini! Tanzania hakuna chama chenye uchungu na watanzania vyote vinalengo la kujinufaisha na maslahi ya viongozi tu!
Mnapoeza muda wa watu kufanya kazi. Watu wanataka barabara, hospitali, shule bora n.k. Hawataki maandamano.
Acheni uzushi, kahamasisheni shughuli za maendeleo.
offtopic you need ban nimereport kwa mod
katika hali isiyo tarajiwa wabunge wawili wameendelea kupingana na uongozi wa chadema kwa kukataa maandamano ya mwanza
Mpaka sasa leo(24.02.2011) sio chibuda sio zitto aliyeko kwenye maandamano ya mwanza
Nawapa big up zitto na shibuda
Wakuu yale maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa ndio yameshaanza.Maandamano yameanzia Buzuruga kuelekea uwanja wa Furahisha.Watu ni wammejitokeza kwa wingi wa jinsia na rika zote.Kwabahati mbaya sijakaa kwenye position nzuri ya kurusha picha lakini nikipata fursa nzuri nitazirusha.
Aluta Continua.
From kwenye Maandamano Mwanza
Regia E Mtema
Waziri Kivuli-Kazi na Ajira
![]()
Picture added by JF Admin
nani aliyekudnaganya muamndamana ni kuvunja amani?Hata Arusha hawakuwepo, hao ni watu makini na wenye fikra za kulinda amani. Hawaoni kuwa Maandamano kuwa ni ufumbuzi au ndio Muarubaini wa maendeleo. Nawaunga mkono kwa kutoshabikia maandamano yasiyo na msingi.
kumbe umewaona, hawana la kusema hivyo watabaki na umbea na kufikiria zaidi ya ukweli..yaani roho itawauma mpaka mpasuke ..... mipasho na mashairi ndicho mnachojua
katika hali isiyo tarajiwa wabunge wawili wameendelea kupingana na uongozi wa chadema kwa kukataa maandamano ya mwanza
mpaka sasa leo(24.02.2011) sio chibuda sio zitto aliyeko kwenye maandamano ya mwanza
nawapa big up zitto na shibuda
Hawa Jamaa ni watu makini sana , mie pia nawapa big up !
lakini MWanf1 umedhibitisha hayo maneno ya huyo mtoa mada?Mimi ninge kuwa karibu na Zitto Kabwe ningemshauri ajitoe tu Chadema. Nakubali kwamba mwanasiasa lazima awe na mawazo binafsi na iki bidi apingane na chama kwa ajili ya maslahi ya jimbo lake au maslahi ya kimataifa. LAKINI, ikiwa kwamba wewe kila mkakati wa chama una pingana nao hiyo inaonyesha wewe una tofauti za ki-idiolojia na hicho chama. Inapo fika mahali haukubaliani kabisa na mwenendo wa chama jitoe na tafuta chama kinacho endana zaidi na falsafa yako binafsi. It is obvious huyu jamaa na Chadema haviendani.